Rafiki yangu kashikwa uchawi nikimuliza ananijibu ni Imani ya kazi

Rafiki yangu kashikwa uchawi nikimuliza ananijibu ni Imani ya kazi

IPO hivi ,Nina mshikaji wangu flan mwanangu sana , yeye amebahatika kufanya biashara tu yaani Toka ukinga akiwa mdogo sana yeye ni biashara tu .

Sasa kilichotokea wanavyodai alizama kishirikina kwenye duka la wajomba zangu ( wakinga) then akakamatwa kishirikina kikaitishwa kikao Cha wachache akapigwa fain akachiwa .

Kila nikimuangalia mshikaji alivyo bishoo inanishangaza sana na nimemuliza kanijibu kiufupi kuwa uchawi ni Imani ya kazi tu. Imenitisha sana kuwa kumbe nashinda na mchawi .

Hapa sielewi ntaishije naye nikimbuka alivyokuwa anawatolea shit watu aliokuwa anadai ni wachawi inashangaza sana
Mwambie akufundishe basi
 
Back
Top Bottom