Hayo yanatokea, nakumbuka majuzi nilipata kazi serikalini pamoja na kaka YANGU ila mikoa tofauti. Kila mmoja akaenda mkoa aliopangiwa. Itabd bro amlete mkewe aishi kwangu na mke wangu. Ila alivyokuwa ana behave sikupendezwa maana ht watu wa karibu yng wakanambia. Nkamwambia bro mkewe anavyofny ila nilimuomba asimwambie, Bali amfunze tu. Basi bhn alivyoongea nae alimwaga kila kitu kwa mkewe na Mimi ndo niliyemwambia. Kinachoendelea namwachia Mungu. Ila nimejifunza kila mmj apambane kivyake
Sent using
Jamii Forums mobile app