Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
- Thread starter
-
- #41
Hahahaaa wee mfundishage tu umbea lakini naamini kama usemavyo anakoromeo la kuweka mamboHahahhaa kaka ukweli wa mambo hakunaga watu wambea kama walioko kwneye serious relationship we chunguza tu utaelewa!
Mwanaume ameumbwa kua mgumu bana, kumezea kua na koromeo, ana tabia za kike eti shemejio hana hizo habari kabisa japo me ndio namfundisha umbea
Apambane na hali yake😀😀😀Huyo ni mwanamke aliepewa tu kikojoleo, huwezi kuwa mwanaume halisi alafu ukafanya mambo ya aibu namna hio. Ngoja atumbue macho mpka yatoke yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama mapenzi ni upofu sio kiivyo mkuu, jamaa alivuka mipaka aiseeMkuu rafiki yako unamwambia ukweli kabisa akaushe atatue kitu kigentleman,
Anaenda kumwambia demu wake mtu flani kanambia hivi,upofu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja alipewaga umbea na mwanamke wake et kwa hasira akataka kuwapigia wale awaambie alichoambiwa nilishangaa anafanana na bwana gHahahaaa wee mfundishage tu umbea lakini naamini kama usemavyo anakoromeo la kuweka mambo
Lakini mwanaume anatakiwa awe na kifua mkuu, hata kama angemwambia mwanamke wake wangeishia hukohuko kwao kuliko kufanya alichokifanyaHakuna siri ya watu wawili,,,,,siku zote.
Kuna mmoja alipewaga umbea na mwanamke wake et kwa hasira akataka kuwapigia wale awaambie alichoambiwa nilishangaa anafanana na bwana g
Huyu wangu koromeo analo zima halijaharibika kokote kaka
Umeona eeh mkuukuwa na uume sio kigezo pekee cha uanaume..
Pole sana mkuuHayo yanatokea, nakumbuka majuzi nilipata kazi serikalini pamoja na kaka YANGU ila mikoa tofauti. Kila mmoja akaenda mkoa aliopangiwa. Itabd bro amlete mkewe aishi kwangu na mke wangu. Ila alivyokuwa ana behave sikupendezwa maana ht watu wa karibu yng wakanambia. Nkamwambia bro mkewe anavyofny ila nilimuomba asimwambie, Bali amfunze tu. Basi bhn alivyoongea nae alimwaga kila kitu kwa mkewe na Mimi ndo niliyemwambia. Kinachoendelea namwachia Mungu. Ila nimejifunza kila mmj apambane kivyake
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatafunwa hadi inaisha utamu
Umesema kweli mkuu.Ni mara nyingi watu wenye hiyo miili mikubwa(samani simaanishi wote)hawana vifua vya kiume!Kina Big ni wengi sana mkuu, ulimbukeni wa mapenzi huo
Wachana na nguvu ya kiuno kabisaSijui alipewa mambo gani adimu mpaka akaamua kunitosa na kuniuza rafiki yake, labda ni huo ulimbukeni wa mapenzi
Hahahahaa yaelekea umefanya reseach ya kutosha kuhusu hilo mkuuUmesema kweli mkuu.Ni mara nyingi watu wenye hiyo miili mikubwa(samani simaanishi wote)hawana vifua vya kiume!
Hakuna kiyu kibaya kama mwanume kusutwa maliyamtu, tena mbele ya sweetheart wako!!! Halafu eti anayekusuta ni mwanaume mwenzako uliyetaka kumsaidia....maanina zake Big
Nyie viumbe Mungu Aliwaumba na nguvu ya ajabu....kadri mnavyozidi kua laini ndio nguvu zenu za kutu control wanaume zinaongezeka
Hahahaha asee ni tabuu sana kumpa umbea mtu asioejielewaHakuna kiyu kibaya kama mwanume kusutwa maliyamtu, tena mbele ya sweetheart wako!!! Halafu eti anayekusuta ni mwanaume mwenzako uliyetaka kumsaidia....maanina zake Big
Nimejifunza hilo kwa jasho jembambaaa, yaani unalowana mwili mzima hata kama upo kwa AC