Rafiki yangu ni mapenzi kwa mkewe yalimzidia au ulimbukeni?

Hahahaha na ni hapo tu wengi wenu huwa mnakamatika aseee

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nature Alivyoumba Maulana hivyo. Utakuta General wa Jeshi mkali kama pilipili, akitokeza kikosini kila mtu anatafuta kazi ya kufanya kwa kumhara lakini akifika home kwake anakunishwa naziπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…