that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
Inawezekana, miaka mingi sana, mpaka sasa kichwa kinakaribia kujaa mvi
Mimi na useneta wapi na wapi?
Pope sanaHabarini za jioni wakuu..
Bila shaka mko na weekend nzuri kabisa,
Kwangu mimi weekend ni mbaya nimekaa leo nikamkumbuka huyu kaka, alikuwa rafiki yangu sana tukaja kupotezana, sijui ntampata wapi namba aliyokuwa anatumia sasa inatumika na mtu mwingine na hata hamjuiš„, mitandao ya kijamii yake naona hatumii tena,
Sijui yuko hai sijui amefariki (God for bid) ila nahitaji sana kumuona daah
Anyways nisiwachoshe kwa yoyote anaemfahamu anaitwa SENETA MERINYO alikua anaishi moshi sometimes Arushaā¦
SENETA KAMA UPO HUMU TINITOR NAKUTAFUTA SAAAAANA
MUWE NA USIKU MWEMA
Mkuu acha utani bandiko hili ni siriaz na mleta uzi anaumiaNipo njoo pm rafiki angu
ChangamkaaaInawezekana, miaka mingi sana, mpaka sasa kichwa kinakaribia kujaa mvi
NsameheMimi na useneta wapi na wapi?
Chukulia poa tu usijaliY
Nsamehe
Tatizo majukumu mengi, yanatupelekea mpaka kuwa na magonjwa ya akiliChangamkaaa
tulia wewe nilikimbia mizingasio mshamba_hachekwi huyu
ndio uuze hadi line?tulia wewe nilikimbia mizinga