that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
Habarini za jioni wakuu..
Bila shaka mko na weekend nzuri kabisa,
Kwangu mimi weekend ni mbaya nimekaa leo nikamkumbuka huyu kaka, alikuwa rafiki yangu sana tukaja kupotezana, sijui ntampata wapi namba aliyokuwa anatumia sasa inatumika na mtu mwingine na hata hamjui😥, mitandao ya kijamii yake naona hatumii tena,
Sijui yuko hai sijui amefariki (God for bid) ila nahitaji sana kumuona daah
Anyways nisiwachoshe kwa yoyote anaemfahamu anaitwa SENETA MERINYO alikua anaishi moshi sometimes Arusha…
SENETA KAMA UPO HUMU TINITOR NAKUTAFUTA SAAAAANA
MUWE NA USIKU MWEMA
Bila shaka mko na weekend nzuri kabisa,
Kwangu mimi weekend ni mbaya nimekaa leo nikamkumbuka huyu kaka, alikuwa rafiki yangu sana tukaja kupotezana, sijui ntampata wapi namba aliyokuwa anatumia sasa inatumika na mtu mwingine na hata hamjui😥, mitandao ya kijamii yake naona hatumii tena,
Sijui yuko hai sijui amefariki (God for bid) ila nahitaji sana kumuona daah
Anyways nisiwachoshe kwa yoyote anaemfahamu anaitwa SENETA MERINYO alikua anaishi moshi sometimes Arusha…
SENETA KAMA UPO HUMU TINITOR NAKUTAFUTA SAAAAANA
MUWE NA USIKU MWEMA