Rafiki yetu! Alipopata Range rover! akaanza kutudharau mimi ni jamaa yangu!

Rafiki yetu! Alipopata Range rover! akaanza kutudharau mimi ni jamaa yangu!

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Basi bwana katika kujitafuta tafuta mwanetu tumuite Jina "machimu"

Tuliishi kwa upendo sana wote tukiwa level moja hali ya chini

Siku zinakwenda "machimu" akapata deal chunya akaenda kupiganisha makarashani/maduara(migodi midogo) mchizi kapiga Bingo
Mara ghafla kanununua range rover, anapanga na nyumba nzima

Mwana starehe na mademu wakamchanganya akatukataa kabisa Paap mwaka mmoja baadae gari ikapinduka ikawa tepe tepe! Hela zikaisha,

Nyumba kodi ya Mwaka ikaisha maana alienda kupanga Dodoma Chamwino sehemu inaitwa uyumbi shule ya mfano kwa wanaojua Dodoma nyuma ya stand pale nane nane🤔

Basi mchizi "Machimu" akarudi kututafuta mimi na mwanangu huyo tumpe Jina (Nzobe)

👉Huwezi amini mimi na mwanetu Nzobe maisha yetu yalibadilika Sana mimi nilikuwa ninamiliki "JIPU" 😅

👉Mwanangu Nzobe kwa upande wake yeye pia maisha yake yalibadilika yeye alikuwa ana "HAMA"


Yani wakuunamaanisha mimi kipindi maisha yake Machimu yanashuka kitu nilichokuwa namiliki ni (jipu) la kwapani mwanangu sikuwa na maisha Nzobe yeye alikuwa (nahama) 😅pale alipokuwa amepanga maana kodi iliisha

👉Kwahyo tuliishindwa kumsaidia mwanetu machimu

Ila nachoshukuru mwanetu Machimu kajifunza kutokana na makosa na Sasa tupo wote tunapambana tunanyanyuka Taratibu, kimawazo, kimaono
Kihatua jabo ni majobless

👉"Roma haikujengwa kwa siku moja"
Vijana wenzangu mafanikio ni mchakato wa mda mrefu wa hatua ndogo ndogo za Kila siku,
makutupora Intelligent businessman dosho12
 
Basi bwana katika kujitafuta tafuta mwanetu tumuite Jina "machimu"
Tuliishi kwa upendo sana wote tukiwa level moja hali ya chini

Siku zinakwenda "machimu" akapata deal chunya akaenda kupiganisha makarashani/maduara(migodi midogo) mchizi kapiga Bingo
Mara ghafla kanununua range rover, anapanga na nyumba nzima

Mwana starehe na mademu wakamchanganya akatukataa kabisa Paap mwaka mmoja baadae gari ikapinduka ikawa tepe tepe! Hela zikaisha,

nyumba kodi ya Mwaka ikaisha maana alienda kupanga dodoma chamwino sehemu inaitwa uyumbi shule ya mfano kwa wanaojua dodoma nyuma ya stand pale nane nane🤔

Basi mchizi "Machimu" akarudi kututafuta mimi na mwanangu huyo tumpe Jina (Nzobe)

👉Huwezi amini mimi na mwanetu Nzobe maisha yetu yalibadilika Sana mimi nilikuwa ninamiliki "JIPU" 😅

👉Mwanangu Nzobe kwa upande wake yeye pia maisha yake yalibadilika yeye alikuwa ana "HAMA"


Yani wakuunamaanisha mimi kipindi maisha yake Machimu yanashuka kitu nilichokuwa namiliki ni (jipu) la kwapani mwanangu sikuwa na maisha Nzobe yeye alikuwa (nahama) 😅pale alipokuwa amepanga maana kodi iliisha

👉Kwahyo tuliishindwa kumsaidia mwanetu machimu

Ila nachoshukuru mwanetu Machimu kajifunza kutokana na makosa na Sasa tupo wote tunapambana tunanyanyuka Taratibu, kimawazo, kimaono
Kihatua jabo ni majobless

👉"Roma haikujengwa kwa siku moja"
Vijana wenzangu mafanikio ni mchakato wa mda mrefu wa hatua ndogo ndogo za Kila siku,
makutupora Intelligent businessman dosho12
Nyie wote bado mnajifunza maisha hata sasa, wapo waliofanikiwa kwa njia mbali mbali kwa marafiki na kwa wasio marafiki, ila nashauri kwasababu za kiusalama na nyingine kibao mtu ni vyema ujitafute kimaisha kivyako kwasababu marafiki wanabadilika lolote linaweza kutokea.

Japo nyie wote bado siri za maisha amuyajui ni kweli mnaweza kufanikiwa kwa kikundi lakini kwasababu nyingi nashauri kijana ajisongeshe mwenyewe.
 
Basi bwana katika kujitafuta tafuta mwanetu tumuite Jina "machimu"
Tuliishi kwa upendo sana wote tukiwa level moja hali ya chini

Siku zinakwenda "machimu" akapata deal chunya akaenda kupiganisha makarashani/maduara(migodi midogo) mchizi kapiga Bingo
Mara ghafla kanununua range rover, anapanga na nyumba nzima

Mwana starehe na mademu wakamchanganya akatukataa kabisa Paap mwaka mmoja baadae gari ikapinduka ikawa tepe tepe! Hela zikaisha,

nyumba kodi ya Mwaka ikaisha maana alienda kupanga dodoma chamwino sehemu inaitwa uyumbi shule ya mfano kwa wanaojua dodoma nyuma ya stand pale nane nane🤔

Basi mchizi "Machimu" akarudi kututafuta mimi na mwanangu huyo tumpe Jina (Nzobe)

👉Huwezi amini mimi na mwanetu Nzobe maisha yetu yalibadilika Sana mimi nilikuwa ninamiliki "JIPU" 😅

👉Mwanangu Nzobe kwa upande wake yeye pia maisha yake yalibadilika yeye alikuwa ana "HAMA"


Yani wakuunamaanisha mimi kipindi maisha yake Machimu yanashuka kitu nilichokuwa namiliki ni (jipu) la kwapani mwanangu sikuwa na maisha Nzobe yeye alikuwa (nahama) 😅pale alipokuwa amepanga maana kodi iliisha

👉Kwahyo tuliishindwa kumsaidia mwanetu machimu

Ila nachoshukuru mwanetu Machimu kajifunza kutokana na makosa na Sasa tupo wote tunapambana tunanyanyuka Taratibu, kimawazo, kimaono
Kihatua jabo ni majobless

👉"Roma haikujengwa kwa siku moja"
Vijana wenzangu mafanikio ni mchakato wa mda mrefu wa hatua ndogo ndogo za Kila siku,
makutupora Intelligent businessman dosho12
Akijipata tena atawakataa tena!!!
 
Vijana wanasema alipolamba mawe akawakataaa yani akawafungia milango, akawalia balizi, akawakaushia, akawapotezea, akawalia ndimu, akawatenga, akawalia kibati ....

Hahaa lugha za ujana tamu
 
Mbona huu urais fomu imetoka moja kama mama kizimkaz
Ooh mimi ndio mwasisi wa chama Cha ma jobless pro max.

Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy

Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora

Kidumu chama Cha ma jobless pro max
OIG4 (1).jpeg
 
Yani wakuunamaanisha mimi kipindi maisha yake Machimu yanashuka kitu nilichokuwa namiliki ni (jipu) la kwapani mwanangu sikuwa na maisha Nzobe yeye alikuwa (nahama) 😅pale alipokuwa amepanga maana kodi iliisha
😂😂😂😂
 
Namfahamu huyo jamaa alikuwa hapa Chamwino maeneo ya shule, Kumbe ile Range yake ilishapiga mzinga? Ndiyo maana haonekani tena siku hizi
 
Watu wengi sana ni wana tatizo la emotional instability wakipa hela au cheo kazi kidogo wanaanza dharau na kujitenga na wana mwisho wa siku wanapotea.
 
Ndege wafananao wanaruka kundi moja
So km ufanani nae why abebane na ww wakat wapo wa kufanana nae
 
Back
Top Bottom