Rafu aliyochezewa leo Inonga iwe ni funzo kwake kuacha sifa za kijinga, ushamba na utoto

Rafu aliyochezewa leo Inonga iwe ni funzo kwake kuacha sifa za kijinga, ushamba na utoto

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE (Shabiki Tukuka wa Simba SC) nilishawahi kuandika Mada (Thread) hapa hapa JamiiForums ya Kuwaonya akina Inonga na Sakho juu ya Uchezaji Wao wa anao anao mwingi na kutafuta Sifa kwa Majukwaa huku Nikionya kuwa ipo Siku yatawakuta makubwa.

Sikueleweka na baadhi ila nina baada ya Tukio la leo sasa nitaeleweka vyema na ikibidi hata kupigiwa Salute kwa kuwa Critical Observer na Mwana Maono niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu.

Rafu ya Kwanza

Kulikuwa na haja gani ya Inonga Kukokota Mpira kiasi kile wakati akina Kapombe, Sakho na Saido walikuwa mbele yake na angewapa tu Pasi ili abaki salama?

Rafu ya Pili

Vitu vingine ni Football Intelligence tu. Hivi umeshajua tayari kutokana na Rafu ya Kwanza kuwa Mshambuliaji fulani amekudhamiria Kukuumiza kulikuwa na haja gani unaona unaenda nae katika One to One tena ya Sliding na Wewe unajiingiza mazima mazima kwa kuzama nae Uvunguni?

Na hapa wana Simba SC Wenzangu mliopo JamiiForums mtanisamehe GENTAMYCINE ila pamoja na kwamba Kibinadamu (Emotionally) nimeumia kwa Kuumia Kwake ila upande mwingine Nimefurahi kuwa acha aumizwe vile ili Kumsaidie Kumsthtua na hata Kumrekebisha pia ili akipona na Kurejea tena Uwanjani awe na Adabu na apunguze Sifa, Ushamba na Utoto wake ambao Binafsi huwa Unaniboa sana tu.

Mbona Beki wa Yanga SC na MVP wa Ligi Kuu iliyomalizika Yannick Bangala ni Mchezaji mzuri, mahiri na wa Kutegemewa kabisa ila hana Upuuzi huu alionao huyu Mkongomani Mwenzake Henock Inonga Baka?

Kwanini Inonga hataki au hawezi Kujifunza kutoka kwa Clatous Chama ambaye ana Football Intelligence ya hali ya Juu na inayomsaidia asichezewe Rafu au asijihatarishie Kuchezewa Rafu Mbaya?

Chama huwa anapiga Chenga au anafanya Mbwembwe zake pale tu inapobidi ila akiona anaocheza nao ni Wahuni na Wakorofi mara nyingi huwa anagusa tu na kuachia mara moja na kujikuta anamaliza Mechi salama na amekuwa akifanya hivyo sana tu.

Mwisho GENTAMYCINE namalizia kama Inonga au Wana Simba SC mliopo hapa JamiiForums mtachukia kwa Kilichotokea/Kilichomtokea leo Beki Inonga na Kulaumu hebu tukiacha Unafiki na tukimuogopa Mwenyezi Mungu hivi kwa mfano ile Rafu Mbaya ya Inonga aliyomchezea Kiungo wa Yanga SC Salum Aboubakary 'Sure Boy' ingempata vilivyo leo hii angekuwa anacheza Mpira?

Mwmbieni Inonga Muosha nae Huoshwa hivyo awe Mpole kabisa, auguze Jeraha lake na asiinue Mdomo wake Kulaumu kwani kama Yeye leo alivyohatarishiwa Career yake basi nae pia angehatarisha vile vile na Career ya Mwenzake 'Sure Boy' wa Yanga SC hivyo atulie tu.

Nililolitegemea leo limemtokea live!!!
 
Sema umefanya nicheke sana kama mazuri vile tuombe awahi kurudi uwanjani mapema. [emoji3][emoji3][emoji3]

Turudi kwako, ulileta mbinu humu za mabeki kumchezea rafu mayele sababu kawazoea sana anafunga mbele yao ukatoa na mifano kibao lililotokea sasa.

Matokeo yake umesikilizwa ila walichofanya ni kuwageuzia kibao nyie wenyewe sio kwa mayele tena na wanasema bado chama kutenguliwa ili mpoteane (utani)

Pia juzi tu hapo ulikuja na uzi wa aina za rafu ukazielezea mpaka na majina yake, nadhani wapinzani wanatendea kazi mabandiko yako.

Tunashukuru kwa kutupa mbinu pia mtaharifu saidoo akileta sifa nae tunamtengua kiuno sio muda.
 
Ile faulu wa kulaumiwa ni Onyango kwa kutoa pasi chonganishi na haya makosa amekuwa akiyafanya sana na kuigharimu timu.

Bila inonga kujitoa muhanga lile lilikuwa goli.
Una uhakika 100% lile lingekuwa ni Goli?
 
GENTAMYCINE ( Shabiki Tukuka wa Simba SC ) nilishawahi kuandika Mada ( Thread ) hapa hapa JamiiForums ya Kuwaonya akina Inonga na Sakho juu ya Uchezaji Wao wa anao anao mwingi na kutafuta Sifa kwa Majukwaa huku Nikionya kuwa ipo Siku yatawakuta makubwa sikueleweka na baadhi ila nina baada ya Tukio la leo sasa nitaeleweka vyema na ikibidi hata kupigiwa Salute kwa kuwa Critical Observer na Mwana Maono niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu.

Rafu ya Kwanza

Kulikuwa na haja gani ya Inonga Kukokota Mpira kiasi kile wakati akina Kapombe, Sakho na Saido walikuwa mbele yake na angewapa tu Pasi ili abaki salama?

Rafu ya Pili

Vitu vingine ni Football Intelligence tu. Hivi umeshajua tayari kutokana na Rafu ya Kwanza kuwa Mshambuliaji fulani amekudhamiria Kukuumiza kulikuwa na haja gani unaona unaenda nae katika One to One tena ya Sliding na Wewe unajiingiza mazima mazima kwa kuzama nae Uvunguni?

Na hapa wana Simba SC Wenzangu mliopo JamiiForums mtanisamehe GENTAMYCINE ila pamoja na kwamba Kibinadamu ( Emotionally ) nimeumia kwa Kuumia Kwake ila upande mwingine Nimefurahi kuwa acha aumizwe vile ili Kumsaidie Kumsthtua na hata Kumrekebisha pia ili akipona na Kurejea tena Uwanjani awe na Adabu na apunguze Sifa, Ushamba na Utoto wake ambao Binafsi huwa Unaniboa sana tu.

Mbona Beki wa Yanga SC na MVP wa Ligi Kuu iliyomalizika Yannick Bangala ni Mchezaji mzuri, mahiri na wa Kutegemewa kabisa ila hana Upuuzi huu alionao huyu Mkongomani Mwenzake Henock Inonga Baka?

Kwanini Inonga hataki au hawezi Kujifunza kutoka kwa Clatous Chama ambaye ana Football Intelligence ya hali ya Juu na inayomsaidia asichezewe Rafu au asijihatarishie Kuchezewa Rafu Mbaya?

Chama huwa anapiga Chenga au anafanya Mbwembwe zake pale tu inapobidi ila akiona anaocheza nao ni Wahuni na Wakorofi mara nyingi huwa anagusa tu na kuachia mara moja na kujikuta anamaliza Mechi salama na amekuwa akifanya hivyo sana tu.

Mwisho GENTAMYCINE namalizia kama Inonga au Wana Simba SC mliopo hapa JamiiForums mtachukia kwa Kilichotokea / Kilichomtokea leo Beki Inonga na Kulaumu hebu tukiacha Unafiki na tukimuogopa Mwenyezi Mungu hivi kwa mfano ile Rafu Mbaya ya Inonga aliyomchezea Kiungo wa Yanga SC Salum Aboubakary 'Sure Boy' ingempata vilivyo leo hii angekuwa anacheza Mpira?

Mwmbieni Inonga Muosha nae Huoshwa hivyo awe Mpole kabisa, auguze Jeraha lake na asiinue Mdomo wake Kulaumu kwani kama Yeye leo alivyohatarishiwa Career yake basi nae pia angehatarisha vile vile na Career ya Mwenzake 'Sure Boy' wa Yanga SC hivyo atulie tu.

Nililolitegemea leo limemtokea live!!!
Siku moja niliwahi kusema/kucomment humu kuwa mpenda kujikweza mmoja humu Jukwaani anazidi kuporomoka kifikra. uGreat Thinking unamkimbia hana tofauti na chizi.
Hapa unataka kuaminisha nini watu? Umewahi cheza mpira wewe. Kumbe ulofa hauna umri!??

Tatizo unajifanya unajua sana kumbe upopoma tu umekujaa. Hakuna lolote la maana ulilofungulia thread hapa. Huwezi kufurahia kuumizwa kwa mtu. Eti mwana maono aliyebarikiwa na Mungu; labda mungu wa kwenu.
Hata huyo Sure Boy aliyechezewa rafu na Inonga kwa sisi wenye hekina zetu na kujuwa maana ya mpira tulisikitika sana regardless ushabiki/upenzi wa timu ya Simba.

BAHATI MBAYA SANA U GT UNAZIDI KUPOROMOKA KWA KASI YA 5G.
 
Leo umesema kweli inonga anaufala mwingi sana ngoja aipate pate kidogo
 
Kwa kutabiri majanga yanatokea, jiepushe na kutabiri
 
Boya hili achana nalo. Andiko lake limenikwaza sana kama Henock atakuwa nje kwa muda mrefu simba itapitia kipindi kigumu sana. Hakuna beki zaid ya Inonga, kifupi hakuna mwanasimba anaweza kufurahi Inong kuumia
Si huyu fedhuli mmoja anajipaisha kuwa eti ni mwana maono, kumbe mchuchumilia vitu.
Amenikwaza sana na kuniharibia wakati na kutafakari ya maana.
 
Inonga unamkosoa tangu zamani sio leo hii ila nashangaa hushangai why alikuwa best defender of the year wa NBC Primier League msimu uliopita.
Mchezaji yeyote anaweza kuumia , hebu fikiria leo ndo mara ya kwanza Inonga anaumia ndani ya miaka 2 aliyocheza hapa bongo leo uje kulaumu his style of playing kuwa ndiyo chanzo cha kuumizwa kweli!? Au ndo unaandika mada ili ujaze server za Maxence bila utu?
 
GENTAMYCINE ( Shabiki Tukuka wa Simba SC ) nilishawahi kuandika Mada ( Thread ) hapa hapa JamiiForums ya Kuwaonya akina Inonga na Sakho juu ya Uchezaji Wao wa anao anao mwingi na kutafuta Sifa kwa Majukwaa huku Nikionya kuwa ipo Siku yatawakuta makubwa sikueleweka na baadhi ila nina baada ya Tukio la leo sasa nitaeleweka vyema na ikibidi hata kupigiwa Salute kwa kuwa Critical Observer na Mwana Maono niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu.

Rafu ya Kwanza

Kulikuwa na haja gani ya Inonga Kukokota Mpira kiasi kile wakati akina Kapombe, Sakho na Saido walikuwa mbele yake na angewapa tu Pasi ili abaki salama?

Rafu ya Pili

Vitu vingine ni Football Intelligence tu. Hivi umeshajua tayari kutokana na Rafu ya Kwanza kuwa Mshambuliaji fulani amekudhamiria Kukuumiza kulikuwa na haja gani unaona unaenda nae katika One to One tena ya Sliding na Wewe unajiingiza mazima mazima kwa kuzama nae Uvunguni?

Na hapa wana Simba SC Wenzangu mliopo JamiiForums mtanisamehe GENTAMYCINE ila pamoja na kwamba Kibinadamu ( Emotionally ) nimeumia kwa Kuumia Kwake ila upande mwingine Nimefurahi kuwa acha aumizwe vile ili Kumsaidie Kumsthtua na hata Kumrekebisha pia ili akipona na Kurejea tena Uwanjani awe na Adabu na apunguze Sifa, Ushamba na Utoto wake ambao Binafsi huwa Unaniboa sana tu.

Mbona Beki wa Yanga SC na MVP wa Ligi Kuu iliyomalizika Yannick Bangala ni Mchezaji mzuri, mahiri na wa Kutegemewa kabisa ila hana Upuuzi huu alionao huyu Mkongomani Mwenzake Henock Inonga Baka?

Kwanini Inonga hataki au hawezi Kujifunza kutoka kwa Clatous Chama ambaye ana Football Intelligence ya hali ya Juu na inayomsaidia asichezewe Rafu au asijihatarishie Kuchezewa Rafu Mbaya?

Chama huwa anapiga Chenga au anafanya Mbwembwe zake pale tu inapobidi ila akiona anaocheza nao ni Wahuni na Wakorofi mara nyingi huwa anagusa tu na kuachia mara moja na kujikuta anamaliza Mechi salama na amekuwa akifanya hivyo sana tu.

Mwisho GENTAMYCINE namalizia kama Inonga au Wana Simba SC mliopo hapa JamiiForums mtachukia kwa Kilichotokea / Kilichomtokea leo Beki Inonga na Kulaumu hebu tukiacha Unafiki na tukimuogopa Mwenyezi Mungu hivi kwa mfano ile Rafu Mbaya ya Inonga aliyomchezea Kiungo wa Yanga SC Salum Aboubakary 'Sure Boy' ingempata vilivyo leo hii angekuwa anacheza Mpira?

Mwmbieni Inonga Muosha nae Huoshwa hivyo awe Mpole kabisa, auguze Jeraha lake na asiinue Mdomo wake Kulaumu kwani kama Yeye leo alivyohatarishiwa Career yake basi nae pia angehatarisha vile vile na Career ya Mwenzake 'Sure Boy' wa Yanga SC hivyo atulie tu.

Nililolitegemea leo limemtokea live!!!
kwanza tumpe pole hayo mengine ni yenu

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Unafurahia inonga kuumizwa. Ile pasi kapigiwa ya kichonganishi. Kosa lake lipi?.
 
GENTAMYCINE (Shabiki Tukuka wa Simba SC) nilishawahi kuandika Mada (Thread) hapa hapa JamiiForums ya Kuwaonya akina Inonga na Sakho juu ya Uchezaji Wao wa anao anao mwingi na kutafuta Sifa kwa Majukwaa huku Nikionya kuwa ipo Siku yatawakuta makubwa.

Sikueleweka na baadhi ila nina baada ya Tukio la leo sasa nitaeleweka vyema na ikibidi hata kupigiwa Salute kwa kuwa Critical Observer na Mwana Maono niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu.

Rafu ya Kwanza

Kulikuwa na haja gani ya Inonga Kukokota Mpira kiasi kile wakati akina Kapombe, Sakho na Saido walikuwa mbele yake na angewapa tu Pasi ili abaki salama?

Rafu ya Pili

Vitu vingine ni Football Intelligence tu. Hivi umeshajua tayari kutokana na Rafu ya Kwanza kuwa Mshambuliaji fulani amekudhamiria Kukuumiza kulikuwa na haja gani unaona unaenda nae katika One to One tena ya Sliding na Wewe unajiingiza mazima mazima kwa kuzama nae Uvunguni?

Na hapa wana Simba SC Wenzangu mliopo JamiiForums mtanisamehe GENTAMYCINE ila pamoja na kwamba Kibinadamu (Emotionally) nimeumia kwa Kuumia Kwake ila upande mwingine Nimefurahi kuwa acha aumizwe vile ili Kumsaidie Kumsthtua na hata Kumrekebisha pia ili akipona na Kurejea tena Uwanjani awe na Adabu na apunguze Sifa, Ushamba na Utoto wake ambao Binafsi huwa Unaniboa sana tu.

Mbona Beki wa Yanga SC na MVP wa Ligi Kuu iliyomalizika Yannick Bangala ni Mchezaji mzuri, mahiri na wa Kutegemewa kabisa ila hana Upuuzi huu alionao huyu Mkongomani Mwenzake Henock Inonga Baka?

Kwanini Inonga hataki au hawezi Kujifunza kutoka kwa Clatous Chama ambaye ana Football Intelligence ya hali ya Juu na inayomsaidia asichezewe Rafu au asijihatarishie Kuchezewa Rafu Mbaya?

Chama huwa anapiga Chenga au anafanya Mbwembwe zake pale tu inapobidi ila akiona anaocheza nao ni Wahuni na Wakorofi mara nyingi huwa anagusa tu na kuachia mara moja na kujikuta anamaliza Mechi salama na amekuwa akifanya hivyo sana tu.

Mwisho GENTAMYCINE namalizia kama Inonga au Wana Simba SC mliopo hapa JamiiForums mtachukia kwa Kilichotokea/Kilichomtokea leo Beki Inonga na Kulaumu hebu tukiacha Unafiki na tukimuogopa Mwenyezi Mungu hivi kwa mfano ile Rafu Mbaya ya Inonga aliyomchezea Kiungo wa Yanga SC Salum Aboubakary 'Sure Boy' ingempata vilivyo leo hii angekuwa anacheza Mpira?

Mwmbieni Inonga Muosha nae Huoshwa hivyo awe Mpole kabisa, auguze Jeraha lake na asiinue Mdomo wake Kulaumu kwani kama Yeye leo alivyohatarishiwa Career yake basi nae pia angehatarisha vile vile na Career ya Mwenzake 'Sure Boy' wa Yanga SC hivyo atulie tu.

Nililolitegemea leo limemtokea live!!!
Sahihi kabisa mzee mwenzangu.
 
Sema umefanya nicheke sana kama mazuri vile tuombe awahi kurudi uwanjani mapema. [emoji3][emoji3][emoji3]

Turudi kwako, ulileta mbinu humu za mabeki kumchezea rafu mayele sababu kawazoea sana anafunga mbele yao ukatoa na mifano kibao lililotokea sasa.

Matokeo yake umesikilizwa ila walichofanya ni kuwageuzia kibao nyie wenyewe sio kwa mayele tena na wanasema bado chama kutenguliwa ili mpoteane (utani)

Pia juzi tu hapo ulikuja na uzi wa aina za rafu ukazielezea mpaka na majina yake, nadhani wapinzani wanatendea kazi mabandiko yako.

Tunashukuru kwa kutupa mbinu pia mtaharifu saidoo akileta sifa nae tunamtengua kiuno sio muda.
Duh! Kumbe we jamaa ndo unahusika na rafu zote mbaya za ligi leo tumekufahamu ngoja tukuendee bagamoyo!
But you have one last chance kuomba msamaha na tutakusamehe
 
Huyu Jamaaa nimeshusha Hadhi Sanaaa kwa Hili Andiko Lake.

By the Way, Inonga pale Hajaumia Sanaa, Alitengeneza mazingira ya Card Nyekundu kuwa na Maana Zaidi kitu ambacho Sure Boy Hakufanya.

Kwenye mpira Mchezaji lazima uwe na personal Technics na zile za Kufundishwa, Inonga ni Mmoja wapo, Ndio maana Aliitwa Timu ya Taifa na Bangala Hakuitwa. Ndio Beki anaye Funga magori pia.

Kumiliki mpira ni njia nzuri, ya kuwapumzisha wachezaji wenzio uwanjani na kujipanga vizuri.

Mkuu sina Hakika Hata kama Umewahi Kucheza Cha Ndimu
 
Ila huyu jamaa napenda sana sifa, kila kona yupo kila mada yumo, yaani watu wa namna hii huwa siwezi kuishi nao
 
Back
Top Bottom