Rafu aliyochezewa leo Inonga iwe ni funzo kwake kuacha sifa za kijinga, ushamba na utoto

Rafu aliyochezewa leo Inonga iwe ni funzo kwake kuacha sifa za kijinga, ushamba na utoto

Bila kupindisha maneno Genta unastahili tuzo unaongeaga ukweli japo ni Kolo
 
Ile faulu wa kulaumiwa ni Onyango kwa kutoa pasi chonganishi na haya makosa amekuwa akiyafanya sana na kuigharimu timu.

Bila inonga kujitoa muhanga lile lilikuwa goli.
Huyo popoma unafikiri anajua boli?huyo mbambamba nyingi tu
 
Siku moja niliwahi kusema/kucomment humu kuwa mpenda kujikweza mmoja humu Jukwaani anazidi kuporomoka kifikra. uGreat Thinking unamkimbia hana tofauti na chizi.
Hapa unataka kuaminisha nini watu? Umewahi cheza mpira wewe. Kumbe ulofa hauna umri!??

Tatizo unajifanya unajua sana kumbe upopoma tu umekujaa. Hakuna lolote la maana ulilofungulia thread hapa. Huwezi kufurahia kuumizwa kwa mtu. Eti mwana maono aliyebarikiwa na Mungu; labda mungu wa kwenu.
Hata huyo Sure Boy aliyechezewa rafu na Inonga kwa sisi wenye hekina zetu na kujuwa maana ya mpira tulisikitika sana regardless ushabiki/upenzi wa timu ya Simba.

BAHATI MBAYA SANA U GT UNAZIDI KUPOROMOKA KWA KASI YA 5G.
Mpka anaharibu
 
Huyu anapenda sifa muda mwingine mpk anavuka mipaka na ni mnafiki mnapenda tuu kumtukuza...na kwa jinsi alivyo mnafiki akianza kuisema Simba lazima ajifanye kuizungumzia Yanga vizuri ili wa Yanga wampe sapoti...
 
Back
Top Bottom