K kirerenya JF-Expert Member Joined Aug 27, 2013 Posts 1,696 Reaction score 2,253 Nov 14, 2017 #2 Huyu mzee naona bado anatafuta uongozi Simba baada ya siasa kumtupa. Ila siyo mbaya acha naye apambane na hali yake
Huyu mzee naona bado anatafuta uongozi Simba baada ya siasa kumtupa. Ila siyo mbaya acha naye apambane na hali yake
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,378 Reaction score 29,739 Nov 14, 2017 #3 Erasto Nyoni kiwango ndo kimepanda zaidi baada ya kuja simba!
Nas Mapesa JF-Expert Member Joined Jul 31, 2014 Posts 5,286 Reaction score 5,421 Nov 14, 2017 #4 Hahahaha anawachana mbumbumbu
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Nov 14, 2017 #5 kati ya mtu aliyeongoza katika uongozi wake kusajili wachezaji kiujanja ni Aden Rage alimwuza Okwi kwa mkopo, aliwauza Sammata na Ochan kwa pesa ndefu lakini alishindwa kutafuta mbadala wake sasa hivi anatafuta kick baada ya kutemwa kwenye siasa
kati ya mtu aliyeongoza katika uongozi wake kusajili wachezaji kiujanja ni Aden Rage alimwuza Okwi kwa mkopo, aliwauza Sammata na Ochan kwa pesa ndefu lakini alishindwa kutafuta mbadala wake sasa hivi anatafuta kick baada ya kutemwa kwenye siasa
Turnkey JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 7,359 Reaction score 5,837 Nov 16, 2017 #6 Bilioni 1.3 baada ya miezi 3 timu mbovu...MO unapigwa wachezaji wote wa. Deal wanagawana na viongozi
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Nov 16, 2017 #7 kirerenya said: Huyu mzee naona bado anatafuta uongozi Simba baada ya siasa kumtupa. Ila siyo mbaya acha naye apambane na hali yake Click to expand... Kila shabiki ana haki ya kusema,acha Rage anene
kirerenya said: Huyu mzee naona bado anatafuta uongozi Simba baada ya siasa kumtupa. Ila siyo mbaya acha naye apambane na hali yake Click to expand... Kila shabiki ana haki ya kusema,acha Rage anene