Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Leo mzee wa mbumbumbu amewageuzia kibao ๐๐๐Mbumbumbu katika Moja na mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo mzee wa mbumbumbu amewageuzia kibao ๐๐๐Mbumbumbu katika Moja na mbili
rage ni mjinga ๐.. no wonder simba is doom.
iko hivi mchezaji anaweza kusign hata na timu 100. ila atasajiriwa na moja tu.
huyu rage anaongea kama sio msomi
Alipokata rufaa akashindaRange aliaminisha watu uongo kuwa anajua sheria ila kesi ndogo tu ya rushwa ilimtia ndani JK akampa msamaha.
rage ni mjinga ๐.. no wonder simba is doom.
iko hivi mchezaji anaweza kusign hata na timu 100. ila atasajiriwa na moja tu.
huyu rage anaongea kama sio
Hana usomi wowote ana ka certificate, uongozi wowote anaogombea anashindwarage ni mjinga ๐.. no wonder simba is doom.
iko hivi mchezaji anaweza kusign hata na timu 100. ila atasajiriwa na moja tu.
huyu rage anaongea kama sio msomi
Sasa Kagoma amesajiliwa na timu gani? Simba ama SFG?rage ni mjinga ๐.. no wonder simba is doom.
iko hivi mchezaji anaweza kusign hata na timu 100. ila atasajiriwa na moja tu.
huyu rage anaongea kama sio msomi
Rage hajawahi kuwa Mbunge? Unaposema uongozi wowote anaogombea anashindwa unamaanisha nini?Hana us
Hana usomi wowote ana ka certificate, uongozi wowote anaogombea anashindwa
Una ushahidi? Mimi ushahidi wangu ni huu uzi.Mbona nyie mlimfurahia Yule aliewaita ' manyani'?
Swali fikirishi je yanga SC wanayo TMS, Simba SC nadhani wanayo na ndiyo maana wahezaji wanashiriki huko kwenye michuano ya shirikisho akiwemo huyo KagomaYa kweli haya ?
---
Aden Rage akihojiwa na Crown Media kuhusu sakata la Mkataba kati ya Yusuph Kagoma na Yanga emesema:
"Wanasheria wetu watanzania watofautishe Elimu yao ya sheria zetu za Tanzania na sheria za FIFA, wanapaswa kujua kuna kitu kinaitwa TMS ambayo ilianzishwa na FIFA ili kusiwe na mambo ya double registration. Yanga Sc wanaweza kuwa na mikataba yao ya halali kama wanavyosema wenyewe ila wanayo kwenye maktaba zao na hawajapeleka TMS, taarifa zao hawajaziingiza kwenye system, wamekaa nazo taarifa zao hawajaziingiza kwenye sysytem. Mikataba yao haina tofauti na kadi za harusi" Soma Pia:
Alitoka kwa msamaha wa RaisAlipokata rufaa akashinda
Na rufaa alikata na akashinda. Fuatilia.Alitoka kwa msamaha wa Rais