Rage: Mikataba ya Yanga kama kadi ya harusi

rage ni mjinga πŸ’€.. no wonder simba is doom.

iko hivi mchezaji anaweza kusign hata na timu 100. ila atasajiriwa na moja tu.

huyu rage anaongea kama sio msomi

Si ndicho alichosema Rage sasa? Au huelewi contract Yanga wanayo maktaba, ila hawajaifanyia registration kwenye TMS badala yake wanazurura nayo kwenye press? Hiyo timu moja aliyosajiliwa ndio Simba sasa. Kama walau unaelewa hadi hapo, unakwama wapi kujua ulichoandika ndicho alichosema Rage?
 
Hana us
rage ni mjinga πŸ’€.. no wonder simba is doom.

iko hivi mchezaji anaweza kusign hata na timu 100. ila atasajiriwa na moja tu.

huyu rage anaongea kama sio
rage ni mjinga πŸ’€.. no wonder simba is doom.

iko hivi mchezaji anaweza kusign hata na timu 100. ila atasajiriwa na moja tu.

huyu rage anaongea kama sio msomi
Hana usomi wowote ana ka certificate, uongozi wowote anaogombea anashindwa
 
rage ni mjinga πŸ’€.. no wonder simba is doom.

iko hivi mchezaji anaweza kusign hata na timu 100. ila atasajiriwa na moja tu.

huyu rage anaongea kama sio msomi
Sasa Kagoma amesajiliwa na timu gani? Simba ama SFG?

Maana mkataba uliowekwa hadharani na utopwinyo unaonesha kuwa Yanga ndiyo imemuuza Kagoma kwa SFG.

Kisheria SFG baada ya kumnunua Kagoma toka Yanga, wakamuuza Simba. Zogo linatoka wapi tena?

πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚
 
Swali fikirishi je yanga SC wanayo TMS, Simba SC nadhani wanayo na ndiyo maana wahezaji wanashiriki huko kwenye michuano ya shirikisho akiwemo huyo Kagoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…