Hahahaa. Sidhani kama watakuelewa hasa wale unaowakuta wamemzunguka huyo muuza pweza huku wana vijiti wakila na kumwambia muuzaji ahesabu vipande wanavyokula.
Ila nasikia ana faida mwilini huenda ndio chanzo cha kupendwa mbali na muonekano mbaya alio nao.