Raha sana...!

Raha sana...!

Lady doctor

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
8,756
Reaction score
7,005
Jf raha jamani no stress no maudhi najikuta natabasamu tu ninapo soma thread na comments za watu, sometime najiuliza nilikuwa wapi mpaka nakosa huu utamu.
Teh teh teh acha nicheke na JF niongeze umri wa kuishi mie.
Baba v, ndio naingia sasa jukwaani.
 
unaweza kuilinganisha na raha gani nyingine uliyowahi kupata huko nyuma?
 
unaweza kuilinganisha na raha gani nyingine uliyowahi kupata huko nyuma?
Nyuma gani tena omba msamaha. Then tubu dhambi zako, ili uende mbinguni. Mwanaume hana nyuma
 
Back
Top Bottom