Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Jf raha jamani no stress no maudhi najikuta natabasamu tu ninapo soma thread na comments za watu, sometime najiuliza nilikuwa wapi mpaka nakosa huu utamu.
Teh teh teh acha nicheke na JF niongeze umri wa kuishi mie.
Baba v, ndio naingia sasa jukwaani.
Teh teh teh acha nicheke na JF niongeze umri wa kuishi mie.
Baba v, ndio naingia sasa jukwaani.