Ukianza kulewa ๐บ inakuwa tamu sana. Pale ubongo unapofurahia maisha na kusahau shida zinazokuzunguka. Kama una 20,000 ambayo unaitegemea mpaka the next pay day, utamu wa bia utakwambia maisha yenyewe mafupi haya.
Baada ya bia tatu utatamani sulu ya kongoro. Ukishaweka pilipili kwenye supu inapendeza kushushia na kitu ๐บ.
Kesho ukiamka asubuhi unajua a na chanjo ya 600/
Ukianza kulewa ๐บ inakuwa tamu sana. Pale ubongo unapofurahia maisha na kusahau shida zinazokuzunguka. Kama una 20,000 ambayo unaitegemea mpaka the next pay day, utamu wa bia utakwambia maisha yenyewe mafupi haya.
Baada ya bia tatu utatamani supu ya kongoro. Ukishaweka pilipili kwenye supu inapendeza kushushia na kitu ๐บ.
Kesho ukiamka asubuhi unakutana na chenji ya 600/
Mkuu kama wote tungeishi kwa kufuata sheria kusinge kuwa na magereza. Kufa utakufa tu iwe kwa high BP au kwa diabetes. Maisha yenyewe mafupi haya.Ila mkuu vipi madhara, pesa, kujidharaurisha, kupigana, moyo, blood preasure, diabates, kumiss kazi.
Vipi ukilingalisha faida na hasara.
Mkuu kama wote tungeishi kwa jurists sheria kidonge kuwa na magereza. Kufa utakufa tu iwe kwa high BP au kwa diabetes. Maisha yenyewe mafupi haya.
shem mkeo yuko wapi jaman??mbn nammisSky Eclat Hulali
kunywa ulewe, wajanja waondoke na marinda yako uliyokuja nayo bar
mh! jana umegonga ngapiUkianza kulewa ๐บ inakuwa tamu sana. Pale ubongo unapofurahia maisha na kusahau shida zinazokuzunguka. Kama una 20,000 ambayo unaitegemea mpaka the next pay day, utamu wa bia utakwambia maisha yenyewe mafupi haya.
Baada ya bia tatu utatamani supu ya kongoro. Ukishaweka pilipili kwenye supu inapendeza kushushia na kitu ๐บ.
Kesho ukiamka asubuhi unakutana na chenji ya 600/
pombe raha bwana...ila isikuendeshe tu