Raha ya kitambi uwe na vimiguu vyembamba

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Bila kujalisha ni kitambi cha utapiamlo au kile cha bia na nyama choma, raha ya kitambi uwe na vimiguu vyembamba, piga kimini na kitop kama wewe ni mdada, au piga pensi kama wewe ni mkaka, ili mguu uonekane vyema.
 
Miguu itaonekana kama vijiti vilivyozidiwa na mwili mkubwa
 
Buji bwana utanifukuzisha mwenzio kazi kwa kucheka.<br />
Meneja wangu leo kapiga bonge la kimini, halafu ana zinga la mguu, kama bomba la antena
hahahahaa!
Kama papai limechomekwa kwenye vijiti vya mshikaki?
 
Buji bwana utanifukuzisha mwenzio kazi kwa kucheka.
Meneja wangu leo kapiga bonge la kimini, halafu ana zinga la mguu, kama bomba la antena

I see,anatembelea toothpick?
 
Bila kujalisha ni kitambi cha utapiamlo au kile cha bia na nyama choma, raha ya kitambi uwe na vimiguu vyembamba, piga kimini na kitop kama wewe ni mdada, au piga pensi kama wewe ni mkaka, ili mguu uonekane vyema.
<br />
<br />
Mkuu hapo si utakuwa na shepu kama rungu?
 
 
Buji na G_crisi nyie mwiso!!!!!!!!! kama mmechelewa kutembea!
 
tetetetetheetehhe mmenikumbusha mwl wangu wa michezo sekondari yy ilikuwa jezi ya arsenal juu bukta ya Man u na soksi za Liverpool halafu njumu adidas duuu ilikuwa balaa akiingia tu uwanjani wanafunzi xl nzimaa mbavu chalii akigusa mpira kama chuma aikikugonga dahh lazima ukande na maji ya moto tumbo kuubwa miguuu duh nyuzi viatu size11 ahaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…