hahahaha sawa mkuu tatizo sa HV cna pesa au na ye hana gharama kama dadaakehahahaha ausio mzee ana mdg ake ...ukiitaji fursa hiyo ntakugeii no..yake
aaaah sawa braza fanya hivokwao hawana gharamaa mzee jiamin tuu hahahah
sura ya nn mkuu we nipe tuko upo tayar mzee ..sema sura anatishatishaa si unajua wafupiii walivyolivyo
Duh acje akawa Sharifa wangu huyu vp huyo Sharifa yupo wp?Ni miaka miwili tangu nipo na huyu mpenzi wangu anaitwaa sharifaa ...nimempendeaa ufupi wakee ni mfupiii sana ...mashikajii wamenisema sana nimuache siendani nae lakin awajuiii ...mambo aliyo nayoo ....yupo vzr sana ..pia hana gharamaa ..kwenye mavazii na chakulaa...mana chips za buku amarizii akimaliza anashindwa kutembeaah ...nakushauri kijana tafutaaa beib mfupiii ...atakupa maendeleo ...