Raha ya Maisha ni nin?

Raha na Maisha NI VITU viwili vitenganishwe, (utulivu na amani ya kweli ndio raha) wakati sabuni ya roho ni pesa. ukiwa na pesa maisha ni mazuri, kwa binadamu wa kawaida starehe ni sehemu ya raha na ni pesa hutumika kwa njia moja au nyingine laakini kwa maisha bora kinachotakiwa ni amani na utulivu wa akili na mwili kwa dhati. hiyo ndio tafsiri ya raha na maisha bora.
 
<br />
<br />
Haswaaaa! Umenena vyema mkuu!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
So wewe huna raha/furaha ya maisha?

Kuna nyakati huwa nina furaha sababu ya kitu flani halafu baada ya muda kitu hicho hicho ndo kinakuja nipa stress mpaka najuta (mapenzi), kuna kipindi nakua sina raha sababu sina pesa but ikitokea nikikamata pesa sometimes hata hiyo raha niliyodhani ntaipata nakosa, so nashindwa kujua raha/furaha yangu inapatikana ktk nini haswaa
 
<br />
<br />
Pole sana mkubwa, sio tatizo lako bt moyo wako. Ulaumu kwa kupenda vitu vikubwa, vya thamani na hatarishi. Ukitaka kufaidi maisha itafute Amani na furaha kwanza! Mkumbuke Mungu wako pia!
 
<br />
<br />
Raha ya maisha nikuishi kwa furaha! Nimekuelewa vizuri sana mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…