Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Ilikuwa hatari sana 😀😀😀***** [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa hatari sana 😀😀😀***** [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Haya mambo acha kabisa ndugu yangualikujibu nn mkuu hebu tupeane uzoefu
Nikawa Kobe nikaenda kutunga sheria upya hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole ukaenda kujipanga upya
Hahahahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] natamani kujua alikujibuje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....jamani niambie looh!Hahahahahahah
usije siku ukanijibu mimi tena mambo yakajirudia
Mwanzo nilijuaga ni mbaba nikaona mahali ameandika ana miaka 24 sijui 26 nilichoka.Huyo jamaa huwaga funny kweli[emoji23] [emoji23]
Sasa wit wewe si ulienda bush mama.Na kulamba lamba midomo![emoji23] [emoji23]
Ila mwaka jana nilienda likizo kijijini kwetu, mitongozo yao haaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....ngoja niishie hapa!
Safi sana akale sifa zake anazojishongodoa nazoVery true...mi ukianza tu kujisifia tayari nishakushusha!
Mkuu Hapo Kipindi Bado New Member Wa Chama Kubwa.Ulikosea sana mwenyekiti wa CHAPUTA. Umetusaliti wanachama
Nakusalimia sanaMkuu Hapo Kipindi Bado New Member Wa Chama Kubwa.
Ila Baada Ya Kuwa Nguli Kwenye Chama Sijawahi Kusaliti Chama
Sometimes wanawake wanakuwa na dharau na maneno ya kuumiza kuumiza kisaikolojia pale ambapo unafanya harakati za kumtongoza au kumfanya umpate.
Ieleweke tu by nature kumtongoza mtu kwa kifupi ni kama unamshobokea mtu au kwa lugha rahisi lazima umshobokee unayetaka kumtongoza kwa kujipeleka kuanzisha kuongea nae hata kama hamjawahi ongea.
Hii ni kuanzia kuomba namba mpaka kumchatisha kila siku bila ya yeye kukuanza. Unamuanza yeye tu “mambo" yaani kwa kifupi ni unajipendekeza ila utafanyaje na nature ishakuwa hivyo?
Sasa tatizo upande wa pili wenzetu wanawake wanashindwa kuelewa hili unakuta mtu anakudharau. Hivi siku ambayo wanaume wataamua kugoma kutongoza kila mmoja asiwe na shobo na mwenzie hivi duniani ingekuwaje?
Au wanawake mngepewa nyinyi jukumu hili mngeliweza? Acheni zenu bana hakuna anayependa kumshobokea mwenzie ila kwa sababu ya nature hatuwezi kwepa.
Hututakii Mema Wewe 😀😀😀😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....jamani niambie looh!
Naipokea na kuirudishaa mkuuNashukuru Kiongozi
Heshima Yako Boss
GoodgirlAseeee[emoji15] [emoji15] [emoji15] ....basi nimekupata J
Ya mdogo wake siro,mpaka nifanye homework ya kusoma coments zangu zooote tangu nmejiunga jf km zipo sawa,kwetu mzee hana B's za kunitafutaHii namba D ya semi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana... Nimekumbuka wimbo wa dogo janja... NgarenaroHa ha ha ha umenikumbusha jamaa mmoja wa Arusha aliniambia "unajua nini " mamilooo" kusema kweli....."
Huwa napenda sana majina yao wanayoita wanawake....mf mamilooo, mamakeee, mamaaa na mama mdogooo ( ukiwa mdogo mbichi bichi) na mshangazii ( ukiwa mkubwa)[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] them
Nikupeleke ngarenarooo oooh!! Huo??Nimecheka sana... Nimekumbuka wimbo wa dogo janja... Ngarenaro
Huo huo.... Kuna sehem anaweka swaga za mamiloo[emoji39][emoji39].... Nilikuambia mwanangu alihamia kabisa anapaita Rbella au Chugga[emoji23][emoji23][emoji23]Nikupeleke ngarenarooo oooh!! Huo??
Sema nini Arusha pa ukweli sana. Sijapata ona.