Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!


Sasa wewe unalazimisha ukubaliwe? Jitafakari sana una matatizo gani yanayokufanya ukataliwe.
Siyo kila mwanamke anatabia kama zako. UKOME KABISAAAAAAAAAA
 
Nimecheka sana... Nimekumbuka wimbo wa dogo janja... Ngarenaro
 
Nikupeleke ngarenarooo oooh!! Huo??
Sema nini Arusha pa ukweli sana. Sijapata ona.
Huo huo.... Kuna sehem anaweka swaga za mamiloo[emoji39][emoji39].... Nilikuambia mwanangu alihamia kabisa anapaita Rbella au Chugga[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…