Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Meona eeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....straight to the point but anakutia hamasa the way anavyojiexpress

Ukikaa vibaya unaliwaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukiliwa na mwanaume wa hivyo ni baraka.
Unatamani hata usioge.
Vile tuu yupo romantic una wish uendelee kumnukia nukia.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Mtihani mkubwa ni kumweka mwanamke ashushe guard yake akuruhusu kuingia kwenye ngome yake awe comfortable kukusikiliza umachotaka kumwambia.Wanawake wameumbiwa defence mechamism,kama ilivyo kuku jike mpaka apandwe lazima kuwe na kukimbizana na kukurukakara sasa jike la binaadamu defence mechanism yake ni complex zaidi,wale wenye upungufu wa hii defence mechanism ndo tunawaita malaya.
Lazima umsome mtu kabla ya kum aproach,huwezi ingia tu kichwakichwa hujui mwanamke husika yuko katika hali gani kwa wakati huo,huenda kaamka vibaya,au ana stress zake sasa ukmuingia vibaya ndo unaambulia matusi.

Alafu pia maneno hayauwi,maneno yashombo kwa wanawake nikawaida,na ukishakuwa mtongozaji jiandae kwa jibu lolotez utakalopewa na lisikukatisbe tamaa.
 
Tatizo baadhi ya mitongozo inaboa.
Imekaa kizamani zamani.
Unatongoza mdada wa miaka 20+ na mitongozo ya kijinga kama unarubuni mtoto wa la saba [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Silaha mnazotumia ni zile zile, hamna jipya.
Wengine mnatumia nguvu nyingi kama mnalima, hadi anayetongozwa anavuja jasho.
Ila kuna wanaume wanajua kutongoza bhanaa, hadi unasikia raha. (Wapo mikoani tuu)


Acha uongo, shida sio mitongozo shida ni kuwa huyo mkaka anaekutongoza unakuwa hujampenda/hujavutiwa nae ndo maana huwa mnajibu fyongo..kama ukimpenda mkaka hata akija na gia za, "usiku silali, nikinywa maji kwenye glass nakuona" mbona utamkubali fasta tu tena utamuona yupo romantic

Hlf sometimes mdada akitongozwa sana anajiona mzuri, kiburi na maringo vinapanda kwahiyo anawaona most of men kama vikaragosi cute b
 
hili jambo xntosahau nlimtongoza demu wik nzima akaniambia ntmie vocha nkatma akaniambia ntakujibu kesho na kweli akanijbu kwa hasira nkamuambia ntakushukuru na me week ijayo kama nimeridhka uwepo wapo xtakag urembo bandia kbsa
 
Hivi bado kuna watu wanatongoza!
Mimi nilishasahau
Sijui unaanzaje kumtongozea demu/mwanamke wa umri kwa mfano miaka 25
 
Ukiliwa na mwanaume wa hivyo ni baraka.
Unatamani hata usioge.
Vile tuu yupo romantic una wish uendelee kumnukia nukia.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Absolutely true shoo....kuna mwanaume anakupa LOVE mpaka unatamani unukie yy tu mda wote haina haja ya kuoga[emoji23] [emoji23] ....mi navaa hadi boksa lake naenda job coz namkubali!

Sema wanaume waliobarikiwa hivi vitu ni wachache mnoo ukimpata unasema thanks God![emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom