Hahaha! Mamushka unanizeesha nikiwa kwa stomach!
Teh teh teh! Hujasikia Dr Ndodi anasema ukizilazimisha kuwa bigger damu haifiki huko? Allocation yake ni lita 3 za damu tu, sasa hiyo damu ya ziada itatoka wapi? Side effect asije kulia mtu hapa, mimi simo!
nilikutega niuone hw true you were!!!!
nimejirithisha mwenyewe thou not beyond reasonable doubt thou!!!
kingine acha kwenda kujikumbushie na yule X. CHENI MGUUNI NI UREMBO TU WASIKUZINGUE AKINA FIDEL
The relationship was hell, kwa hiyo kukumbushia kunaweza kumfanya akadhani tumerudiana! Nani anataka ma-stress? Wapo wanaofaa kukumbushia lakini siyo yule pasua kichwa khaa!! π
leo masaki umeweka sana kambi hapa!...kunani?π
hahaaaa alikuwa mrembo sana basi ndo maana. Pole mwaya wacha tujiinjot na hii likizo bila stress
Of course yes she was beutiful, give credit where it is due! Halafu likizo ya ma-stress ni tamu sana aisee, nilikuwa sijaishtukia! π Hakuna cha text msg za uko wapi wala nini! π Na shopping pia hakuna (hapo nimenong'ona)
HAHA HAAAAAAAAAAAAAAA !!! leo umeamua kubwaga moyo!!!!
ni raha kweli mie mwenzio nilifikia point nikahisi mi na mwenzangu tunaonea lugha tofauti maana maelewano nehiiiiiiiiii. niliishia kupata kizungunzungu tu!!! akisema hivi mi natwist inakuwa vile likewise mimi nikisema!!!
yaani kama Iribini avyobadilishaga post za watu LOL!!!
Vipi lakini likizo ya ma-stress unaweza kuelezea utamu wake? π
Mkuu mbona hata kule kwenye siasa tumekutana? Au unazungumzia kuweka kambi JF? π Imeanza kuwa ''addiction'' sasa. Kesho nanunua dawa!
HAHA HAAAAAAAAAAAAAAA !!! leo umeamua kubwaga moyo!!!!
ni raha kweli mie mwenzio nilifikia point nikahisi mi na mwenzangu tunaonea lugha tofauti maana maelewano nehiiiiiiiiii. niliishia kupata kizungunzungu tu!!! akisema hivi mi natwist inakuwa vile likewise mimi nikisema!!!
yaani kama Iribini avyobadilishaga post za watu LOL!!!
Na huyu tena.......!Of course yes she was beutiful, give credit where it is due! Halafu likizo ya ma-stress ni tamu sana aisee, nilikuwa sijaishtukia! π Hakuna cha text msg za uko wapi wala nini! π Na shopping pia hakuna (hapo nimenong'ona)
Vipi lakini likizo ya ma-stress unaweza kuelezea utamu wake? π
stress-free leave as opposed to paid leave hahaaaa jamani raha!!! moyo kama vile umeongezewa space ya kujinafasi vile!!!!!!!!!!!!!
Next Level; u bright ma dayEheeeeeeh.....!
Na huyu tena.......!
Tena.......!
Eeeeeh tena........!
Ba ndugu...watch out isije kawa BHT= Masaki's X-Gfriend!
Sababu:
BHT: .....sometimes huvaa shanga mguuni
Masaki' X-Gfriend: Anavaa shangaa mguuni as well
BHT: Yupo vacation......stress free leave
Masaki: Now yupo Stress free leave....!
Masaki's X-Gfriend .....alikuwa pasua kichwa....lugha gongana sana,
BHT: Anasema, relation yao ilikuwa hell fulani, lugha gongana kwa kwenda mbele.........!
......just kulwasi mazee msinirushie mwiko wa ugali...........!
nyumba ndogo si nzuri ila ukizidiwa tafuta lakini asiwe wa class moja na mkeo awe chini kidogo.pia hakikisha kwamba unaicontroo otherwise atataka kuwa kama mkeo na hapo ndio stress inapo double
Eheeeeeeh.....!
Na huyu tena.......!
Tena.......!
Eeeeeh tena........!
Ba ndugu...watch out isije kawa BHT= Masaki's X-Gfriend!
Sababu:
BHT: .....sometimes huvaa shanga mguuni
Masaki' X-Gfriend: Anavaa shangaa mguuni as well
BHT: Yupo vacation......stress free leave
Masaki: Now yupo Stress free leave....!
Masaki's X-Gfriend .....alikuwa pasua kichwa....lugha gongana sana,
BHT: Anasema, relation yao ilikuwa hell fulani, lugha gongana kwa kwenda mbele.........!
......just kulwasi mazee msinirushie mwiko wa ugali...........!
Next Level; u bright ma day
nimecheka nimefurahi karibu B/Fast kwa mawazo yako saaaaaaaaaafi
He!he!he!hehe!...........! naniandalia nini mamucikha?