Raha ya safari za usiku 12Hrs Dar - Shinyanga

Interesting
Vipi hao jamaa mlio ongozana nao, ulipata mrejesho wowote nini kiliwasibu?
Ndio nilipata mrejesho kwenye izo gari mbili zilizonitangulia kulikua na mwamba anamzigo mrefu uwa anafata ng'ombe kwenye minada anapakia kwenye roli analeta Dar,sasa naona jamaa kumbe walikua wakimfatilia bila yeye kujua.

Jamaa waliotekwa wanahadithia waliposimamisha gari waliwashusha chini wakawalaza wakawasachi lakini yule mwenye hela walisimama nae pembeni wakiwa wameshamnyang'anya begi simu na kilakitu.
Walimchapa risasi ya mguu moja,wakachapa risasi tatu gari ya mbele zilifika kwenye boneti na shoo ya mbele ili dereva asimame.
Jamaa wanahadithia laghfidh ya watekaji sio ya kitanzania ina asili ya uko nchi za jirani,Congo,Burundi au Rwanda.
Jamaa wanahadithia askari waliokua upande wa kutokea Ushirombo waliwai kufika mapema baada tu ya kupata taarifa lakini jamaa walikua washaingia vichakani huko.
 
Bhana w October tu hapa tumepita Runzewe sa tank hivi tuko ndan ya Gari MTU mbili tu, Ushirombo wadau walisema tulale pale sie tukakomaa tu ila hofu m yake sio ya kitoto
 
Saa 9 kasoro usiku..pale panahitaji umakini tu hasa kwa sababu ukiwa unashuka panakuwa kimyaa sana kona nyingi kali na mteremko wa kutisha..nilitembea 80 tu pale
Ila kuna watu mnatembeza gar aisee..yaan 80 kushuka kilima kama hiko unasema ni speed ya kawaida?tena usiku.....plus unasema ulikua unakamua 100-120..mim siwez endesha gar speed hzi aisee..napenda sana uzinz na kula bata bado
 
Bhana w October tu hapa tumepita Runzewe sa tank hivi tuko ndan ya Gari MTU mbili tu, Ushirombo wadau walisema tulale pale sie tukakomaa tu ila hofu m yake sio ya kitoto
Tushapita ushirimbo usiku kuna mahali tukaona gari imapaki pembeni, kwenye gari kila mtu akawa kimya kwa hofu.
Nilikuja kupata amani baada ya kufika Kahama.
 
Wasalimie Ngokolo,Mwasele,Ushirika, Ndala,Upongoji,Ndembezi,Old Shy,na miss sana pande za Shy Town [emoji122][emoji122]
Nimetoka shy juzi..wako poa sana mvua inavyesha ingawa imechelewa..wanakusalimu pia usiache kwenda xmas.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ila kuna watu mnatembeza gar aisee..yaan 80 kushuka kilima kama hiko unasema ni speed ya kawaida?tena usiku.....plus unasema ulikua unakamua 100-120..mim siwez endesha gar speed hzi aisee..napenda sana uzinz na kula bata bado
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kawaida mkuu
 
Nipe kazi ya bodyguard basi hofu itaisha.
 
Wese la laki2 wakati ungepanda bus ungetumia less than 60K
Bus haitembei usiku kama anavyotaka yeye, kifupi ukiwa na gari binafsi ina raha yake uko flexible na unafuata ratiba zako utakavyo. Pili ukiwa na familia bus ni gharama zaidi kulinganisha na private.

Mfn. Unatoka Dar unaenda Shinyanga mko watu Ludewa gharama za kula, kulala, na nauli ni kubwa kulinganisha na kusafiri na private.
 
Ila kuna watu mnatembeza gar aisee..yaan 80 kushuka kilima kama hiko unasema ni speed ya kawaida?tena usiku.....plus unasema ulikua unakamua 100-120..mim siwez endesha gar speed hzi aisee..napenda sana uzinz na kula bata bado
Hahaha njia ukiijua ndiyo inakuwa poa sana halafu mbona hiyo speed ni ndogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…