makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Upo sahihiExactly kamanda!
Angekuwa Ni mourinho wetu angeshamuuza sterlingGuardiola hajui kununua Wachezaji, anajua kutengeneza wachezaji.
Sio Raheem tu, hata Kompany sasahv anacheza one two, hatoi tena mijasho na kupambana hovyo.
Guardiola is a Manager.
Duh unamjua robbie fowler ,mchezaji mtanashati lazima utakuwa unamju mc manaman na Patrick bergerMkuu we ni shabiki wa liver kweli? Yaani hujui hata raheem aliondokaje unasema tunajuta kumuuza? Liver mchezaji ambae walijuta kumuuza ni Robbie Fowler
Majongoo hawakuwa na namna kijana alipooneshewa wadhifa haikuwa kazi rahisi kuzikataaaliverpoll tunajuta kumuuza huyu kijana-yani ile TRIPLE S yetu ya suarez,sterling na sturridge ni sturridge pekee ndio afanyi vizuri
Kama unamfahamu Robbie Fowler take kiplasta kwenye pua from today basi ujijue Wewe ni Mhenga[emoji2]Duh unamjua robbie fowler ,mchezaji mtanashati lazima utakuwa unamju mc manaman na Patrick berger
Jibu rahisiSteerling kwangu si mchezaji bora ila ni mwananfunzi mwenye adabu mwenye kuyatenda mafunzo ya mwalimu kwa ufanisi..
Kazi ya guardiola hii
Pep ni kocha anajua kutumia vipaji vizuri kupitia mfumo wake pia kuwabadilisha wachezaji waliokuwa wakawaida na kuwa threate likely Otament...Mangala EckramOtamend kabadilika sana hats Mangala