Rai kwa Serikali na Bunge: Wanaoambukiza UKIMWI kwa kukusudia wahanisiwe, wapigwe chapa au wadungwe sindano za kutoa mihemuko

Rai kwa Serikali na Bunge: Wanaoambukiza UKIMWI kwa kukusudia wahanisiwe, wapigwe chapa au wadungwe sindano za kutoa mihemuko

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Kuna mbaba mmoja wa kirangi mtaani ni mtu mwenye hela zake, lakini anaishi na virusi vya ukimwi (mwathirika). Huyu mzee kwa sababu ana vijihela, basi amekuwa akiwarubuni watoto wa kike yani hachagui wanafunzi, Malaya, wake za watu, ndugu zake, mpaka mashoga wote pakia. Huyu jamaa alishawahi kumrubuni mke wa mjeshi aliyekuja kuomba mkopo kwenye kampuni ya vikoba manzese, basi akamtaka kimapenzi ili apatiwe huo mkopo wa million mbili. Yule mama akaenda kumweleza mumewe ambae ni mjeda, basi wakamtega kama panya nae akauingia mtego. Kifupi yule mjeda alikuja na njemba baunsa tatu, jamaa akatafunwa 0713 na njema tatu na tukio likarekodiwa na video. Hili tukio lilitolewa mpaka kwenye gazeti la sani, fumanizi na kuliwa na njemba na mjeda

Kipindi cha uchaguzi alienda kugombea ubunge huko Dodoma, wale njemba walirudi na video wakamwambia asipowalipa million ishirini basi watazisambaza na kweli jamaa kushindwa wakauza ile video ya jamaa anakunwa kwa chama kungwi. Chama kungwi kikapita bila upinzani watu wakaona mbunge mtarajiwa analiwa, akapigwa bao la mkono na kura akakosa. Hili jamaa haliko sawa kichwani lishatembea na wanawake sio chini ya 500, hapiti mwanamke mbele yake akamuacha salama. Hiyo michezo ya kuliwa 0713, ishamtokea mara tatu tofauti na matukio tofauti akaliwa 0714, 0715 na 0716 na bado hajakoma, mwisho wa siku najiuliza labda anapenda. .

Huyu mzee sio peke yake nishamuona na mzee mwingine nae ni hivyo hivyo, kazi yake kubwa ni kutembea na mwanamke kila juma, anawabadilisha kama mashati ya mtumba. Kitendo hiki kinanikera sana kwani hao anaotembea nao ni dada za watu, wake za watu, mama za watu; wengine ni mashemeji, mabinamu, majirani nk. Mtaani kumenuka sana inawezekana asilimia 50% ya tunaoishi nao wameukwaa kwa kutojua hawa watu na mambo yao meusi na machafu. Bahati nzuri kwa wanawake wanaosambaza kwa makusudi sijakutana nao, ila najua kwa sisi ambao tunajali jamii inayokuja serikali na wizara usika waingilie kati hili swala.

Juzi nilipeleka malalamiko kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa, nikamweleza kwa kasi hii ya huyu mzee basi hapo baadae UKIMWI utakuwa janga kubwa sana kwenye taifa letu. Wakitokea watu kama hawa wenye uwezo wa kutembea na wanawake mia tano basi hata mia, Dar es Salaam kama tuijuavyo itakuwa imekwisha kabisa. Nikamweleza mwenyekiti wazi wazi kama serikali ya mtaa wachukue jukumu la kufatilia ili kulinda haki za jamii, lakini mwenyekiti akajibu “yule mzee tabia zake chafu siku nyingi” na hatua hakuchukua. Vitendo hivi vya kusambaza UKIMWI kilazima kitaua watu wengi sana na taifa litakuwa na wazee na watoto, watu wa umri wa kati watakufa sana. JAMBO HILI LINANIKERA MNO.

RAI KWA SERIKALI NA BUNGE:

WANAUME: Kwa wanaume wanaosambaza UKIMWI kwa makusudi si kwamba nawabagua walioathirika la hasha, nawatetea taifa la kesho, Tanzania ya kesho, hawa wanaume wahanisiwe tu ili kulinda watoto na vijana. .

WANAWAKE: Kwa wanawake ambao wanaambukiza watu ukimwi kwa makusudi, basi wanawake hawa wapigwe muhuri kwenye “NYUKE” (UKE) zao ili watu wawatambue kabla hawajavaa magonjwa. Taifa linaangamia hatuwezi kaa kimya hata siku moja, litakapokuwa tatizo kubwa litashindikaka kutatuliwa. .

NYONGEZA: Kama hayo maamuzi tajwa hapo juu yataoneka ni maamuzi yenye kuvunja haki za binadamu, serikali na wizara husika, basi wataalamu wawachome sindano za kuua mihemko. Hawa watu waishi tu bila mihemko ili watuletee maendeleo, TENA YANAYOKENDANA NA KASI YA VIWANDA. .

Nimewakilisha HOJA na haina MJADALA; 'It's either them or us.' HIV FREE GENERATIONS BEGINS WITH YOU AND ME.
Slide1-1.png
 
Mkuu uyo jamaa mnachelewesha kamateni kama mwizi choma Moto tuwekee picha yake huku tumfungie kazi
 
Kama kweli umeamua kupambana na hili, weka picha yake humu ajulikane na wengi maana hiyo picha itasambaa mbali na bila shaka wengi mpaka nduguze watafahamu tabia ya ndugu yao na itasaidia yule anayetongozwa muda asikubali kuvua chupi.. Hizo hatua ulizozitaja zinaweza kuchelewa kuja hivyo ni vyema ukaweka picha na majina yake...MODS WATAKULINDA NA HATA SERIKALI YENYEWE ITAKULINDA MAANA HILI NI JAMBO BAYA SANA ANAFANYA HUYO JAMAA...
 
Nikajua anawalazimisha kwa nguvu au anawabaka hao anaofanya nao mapenzi ,kumbe wanakubali wenyewe kwa tamaa zao wenyewe. Kwa mwanamke mwenye staha hawezi kuuza utu wake kwa pesa hata kamà ana shida kiasi gani.
 
Kama kweli umeamua kupambana na hili, weka picha yake humu ajulikane na wengi maana hiyo picha itasambaa mbali na bila shaka wengi mpaka nduguze watafahamu tabia ya ndugu yao na itasaidia yule anayetongozwa muda asikubali kuvua chupi.. Hizo hatua ulizozitaja zinaweza kuchelewa kuja hivyo ni vyema ukaweka picha na majina yake...MODS WATAKULINDA NA HATA SERIKALI YENYEWE ITAKULINDA MAANA HILI NI JAMBO BAYA SANA ANAFANYA HUYO JAMAA...
 
muuaji huyo tena ni jambazi mkubwa afadhali anatembea na bunduku
 
Umempima?
Akiwa anabanjuka unamkaguaga kama anavaaa mpira ama lahasha?
Unamshikiliziaga?
Hao wanafunzi, akina dada poa, wake za watu wanajua kuwa kaathirika?
 
Nikajua anawalazimisha kwa nguvu au anawabaka hao anaofanya nao mapenzi ,kumbe wanakubali wenyewe kwa tamaa zao wenyewe. Kwa mwanamke mwenye staha hawezi kuuza utu wake kwa pesa hata kamà ana shida kiasi gani.

Wewe ndio walewale, na mmoja wa wajumbe serikali za mitaa kanijinu ulivyojibu wewe. Wasichana wadogo ambao wanakuwa wengi wanakuwa akili hazijakomaa. Na wengine ni mikumbo tu, ila kwa jinsi unavyoneka huna dada, mama hata mashangazi, kwa kweli tabia hii wanayo watu wengi na wanafanya makusudi. Huyu kafahamika, wengine hawajui kabisa na wanasambaza, kwako wewe ni sawa kabisa? Serikali ingeanza na wewe tena wakate kende kabisa. .
 
Mkuu uyo jamaa mnachelewesha kamateni kama mwizi choma Moto tuwekee picha yake huku tumfungie kazi
Acha tu huyu jamaa kagombea ubunge dodoma, mwaka ule wa bao. Ana vimawe na wasije akatuma watu wakanipoteza, ni mtu mbaya sana huyu jamaa. .
 
Umempima?
Akiwa anabanjuka unamkaguaga kama anavaaa mpira ama lahasha?
Unamshikiliziaga?
Hao wanafunzi, akina dada poa, wake za watu wanajua kuwa kaathirika?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna watu wanaojua taarifa za watu kama ndugu, ndugu wanakujua sana na mambo ya familia wanayajua sana. Kuhusu kuvaa kondom kuna mdada katembea nae masikini nilimuhoi inasemekana hakuvaa, hao madada poa siwezi kuwasemea huo ni uzi mwingne

Nachopinga mimi ni kitu kimoja tu, kwa nini asambaze UKIMWI, hata kama anatumia kondomu, kwani haipasuki? Kwa hiyo wewe unaweza tembea na mwathrika kwa imani ya kondom? Ukiafiki kutembea na muathirika you definitely know the risk
 
Mkuu uyo jamaa mnachelewesha kamateni kama mwizi choma Moto tuwekee picha yake huku tumfungie kazi
Mzee mwana NITAFUNGWA, asije nibambikia kesi hapa watu na hela zao. Mie nategemewa sana na familia kubwa mno. .
 
Kama kweli umeamua kupambana na hili, weka picha yake humu ajulikane na wengi maana hiyo picha itasambaa mbali na bila shaka wengi mpaka nduguze watafahamu tabia ya ndugu yao na itasaidia yule anayetongozwa muda asikubali kuvua chupi.. Hizo hatua ulizozitaja zinaweza kuchelewa kuja hivyo ni vyema ukaweka picha na majina yake...MODS WATAKULINDA NA HATA SERIKALI YENYEWE ITAKULINDA MAANA HILI NI JAMBO BAYA SANA ANAFANYA HUYO JAMAA...

Mzee mwana nitafungwa mnyonge ana haki?
 
Usimuhukumu huyo baba bila hatia kuna alie thibitishwa kuambukizwa nae?! Kama anapesa na anakula dawa uwezo wa kuambukiza ni SIFURI kwa mujibu wa taarifa za kiafya.
Muhimu kila mmoja wetu ajari afya yake kwa vitendo. Au wivu tu na mafanikio yake.

Pima afya yako ukiona una maambukizi ya virusi vya Ukimwi VVU tumia dawa zakufubaza virusi, itasaidia sana, moja, utalinda afya yako na kifo cha UKIMWI na pili,
Utazuia maambukizi kwa wapenzi wako hata kama unao wengi kiasi gani. (Mwanaume hatosheki na mmoja) ipo ndani ya asili yetu toka dunia kuumbwa.

Kinga ni bora kuliko tiba,
 
Wewe ndio walewale, na mmoja wa wajumbe serikali za mitaa kanijinu ulivyojibu wewe. Wasichana wadogo ambao wanakuwa wengi wanakuwa akili hazijakomaa. Na wengine ni mikumbo tu, ila kwa jinsi unavyoneka huna dada, mama hata mashangazi, kwa kweli tabia hii wanayo watu wengi na wanafanya makusudi. Huyu kafahamika, wengine hawajui kabisa na wanasambaza, kwako wewe ni sawa kabisa? Serikali ingeanza na wewe tena wakate kende kabisa. .
Simtetei huyo mbaba na uache kutetea ujinga wa hao wanawake. Kwa hao wanafunzi sikubaliani kabisa na ujinga wa huyo mtu kwa sababu anatenda jinai lakini kwa hao wanawake wangine?

Narudia tena, mwanamke mwenye staha yupo tayari kulinda heshima na utu wake lakini si kufanya ujinga kwa kupewa pesa kisa ana shida
 
Simtetei huyo mbaba na uache kutetea ujinga wa hao wanawake. Kwa hao wanafunzi sikubaliani kabisa na ujinga wa huyo mtu kwa sababu anatenda jinai lakini kwa hao wanawake wangine?

Narudia tena, mwanamke mwenye staha yupo tayari kulinda heshima na utu wake lakini si kufanya ujinga kwa kupewa pesa kisa ana shida
sasa mabinti zetu vp ndugu hakuna kujifanya unaongelea habari ya staha njaa mbaya ndugu
 
Wewe ndio walewale, na mmoja wa wajumbe serikali za mitaa kanijinu ulivyojibu wewe. Wasichana wadogo ambao wanakuwa wengi wanakuwa akili hazijakomaa. Na wengine ni mikumbo tu, ila kwa jinsi unavyoneka huna dada, mama hata mashangazi, kwa kweli tabia hii wanayo watu wengi na wanafanya makusudi. Huyu kafahamika, wengine hawajui kabisa na wanasambaza, kwako wewe ni sawa kabisa? Serikali ingeanza na wewe tena wakate kende kabisa. .
Mimi nimependa huyo mke wa mjeda alichofanya tena anaonesha ni mwanamke anayejiheshimu sana. Licha ya kwamba alikuwa ana shida hakuwa tayari kufanya ujinga. Hao wengine wakifata mfano huo inakuwaje? Watakuwa wameokoa jamii inayoumia na kuwasaidia hao wanafunzi lakini hawapazi sauti kulalamika Wala kushtaki hivyo anaona sawa tu.

Wewe hapa ulichoandika ni makisio na hata kamà ni kweli watakaothibitisha kufanyiwa hivyo ni hao wanawake, Je watakuwa tayari kukupa ushirikiano ili akamatwe? Wakiamua kumtetea ili wafiche aibu ya kufanya mapenzi na mtu mwenye HIV utaficha wapi aibu hiyo?

Kuna mtu kapeleka shutuma TAKUKURU au polisi? Je, nawe pia ni mhanga wa udhalishaji huo? Kama sio mhanga ,unaowasemea wamekutuma uwasemee?
 
sasa mabinti zetu vp ndugu hakuna kujifanya unaongelea habari ya staha njaa mbaya ndugu
Hapo juu, kaelezea vizuri juu ya mke wa "mjeda" kukataa alichotaka afanye, je huyo mke wa mjenda hakuwa na njaa au shida? Unadhani kama angetaka kufanya angeshindwa? Aliona staha, utu na heshima yake hauthaminishwi kwa pesa ndio maana akakataa udhalilishaji huo. Je, njaa ndio iwe sababu ya kujivunjia heshima kiasi hicho? Sikubaliani na wewe.

Kwa hao mabinti wa shule, ni kwa kuwa ni jinai kujihusisha nao kimapenzi lakini licha ya hivyo mtoto wa shule anahitaji kuhongwa ili iweje? Kwa Nini asiwaambie wazazi Nina shida ya kiasi Fulani? Je, anataka kuonekana matawi ya juu kwa wenzake kwa hela za kuhongwa? Kwa Nini asiridhike na anachopewa na wazazi wake? Je, Kuna mwanafunzi aliyewahi kushtaki juu ya tabia yake huyo mtu kwa wazazi wake? Wazazi walifanya Nini?
 
Hapo juu, kaelezea vizuri juu ya mke wa "mjeda" kukataa alichotaka afanye, je huyo mke wa mjenda hakuwa na njaa au shida? Unadhani kama angetaka kufanya angeshindwa? Aliona staha, utu na heshima yake hauthaminishwi kwa pesa ndio maana akakataa udhalilishaji huo. Je, njaa ndio iwe sababu ya kujivunjia heshima kiasi hicho? Sikubaliani na wewe.

Kwa hao mabinti wa shule, ni kwa kuwa ni jinai kujihusisha nao kimapenzi lakini licha ya hivyo mtoto wa shule anahitaji kuhongwa ili iweje? Kwa Nini asiwaambie wazazi Nina shida ya kiasi Fulani? Je, anataka kuonekana matawi ya juu kwa wenzake kwa hela za kuhongwa? Kwa Nini asiridhike na anachopewa na wazazi wake? Je, Kuna mwanafunzi aliyewahi kushtaki juu ya tabia yake huyo mtu kwa wazazi wake? Wazazi walifanya Nini?
kama unatetea tabia hiyo kwa mbali au wewe ni ndo mwenyewe tunayemtafuta? mpaka unasema mbona hakuna mwanafunzi aliyeshitaki una shida fulani
 
Back
Top Bottom