mhariri wa TZ daima na balile wote ni makanjanja tu!Balile anawatumikia kina RA na kikosi chake na wa TZ daima anawatumikia kina Mbowe na kikosi chake!1+1=1
Wote wale wale!
kumbe wewe una upande!mimi najadili ukweli!sina upande mimi nakosoa wote!sijali Rai wala cha TZ daima!
Nadhani unaimanisha Mzalendo maana hakuna gazeti la Mzarendo!! Kwi kwi kwi kwi
kumbe wewe una upande!mimi najadili ukweli!sina upande mimi nakosoa wote!sijali Rai wala cha TZ daima!
Sasa ishaanza kuwa ni Tanzania Daima vs Rai... Nawashauri wayaongelee pembeni na kumalizana na wakubaliane kuwa siasa za kubeba 'watu flani' hazitotupeleka popote. Mwisho wa umaarufu wao utafika lakini ujuzi wenu kama waandishi utabaki, fedheha itawekwa wapi?
Taifa mbele!
Sawa lakini rudi soma kwa mantiki hoja walizo andika wahariri wote kisha pembua kwa uyakinifu utaona mapungufu....wewe umecrash kote sasa tunashindwa kukuelewa wakati vitu vipo clear ....Kumbuka Balile ndie aliye lisajili Tanzania Daima mbona katika maoni yake hasemi kama Mbowe alimtuma asajili Tanzania Daima??
Ballile amejitakia, hawezi kutukana gazeti ambalo amelianzisha yeye na pia katika tahariri yake ameandika makosa ya Tanzania Daima mwaka 2005, kipindi ambacho yeye alikuwa mhariri mkuu wake na ndiye aliyeandika tahariri nyingi kuelezea jinsi gazeti hilo lilivyo huru. KAma angetaka kusema angewaomba radhi kwanza Watanzania kwa kuwadanganya wakati huo na sasa ndipo asema anayotaka kusema tena kwa ushahidi na si maneno ya hisia. Ballile ana taaluma lakini kwa bahati mbaya haitumii kabisa
Waandishi wa habari wamekuwa vibaraka wa wanasiasa!wanashindwa kuandika ubaya wanaofanya wamiliki wao!gazeti la TZ daima kamwe halisemi mabaya ya mbowe!hivyo hivyo gazeti la RAI halisemi mabaya ya RA!haijalishi ubaya wa nani ni mkubwa zaidi!Ufisadi hadi kwenye elimu za watu!Waandishi wa habari kataeni taaluma zenu kununuliwa na Mafisadi!
au ndo mambo ya pesa kwanza taaluma baadae!
msg sent!
Tz Daima- nitafutieni sehemu ilipo mpinga Mbowe na CHADEMA.
Ndiyo RAI ni ya RA na LOWASA na TZ Daima ni ya MBOWE na CHADEMA huo ndio ukweli.
Ukipenda CHONGO ni KENGEZA.
Ukweli ni wote hao RAI na TZ daima wanawatumikia mabwana wao ama MABEBERU wao.
Wengi wetu tumeingia mkenge wa ushabiki pasi na kuangalia kwa kina ni nini kilichopelekea mzozo kama huu.
Leo hii hawa wakubwa wawili wanaomiliki vyombo hivi vya habari vya Tanzania Daima na Rai hawako kwenye terms nzuri baina yao, na wanawatumia wananchi wa kawaida katika kufanikisha mambo yao, ikiwa ni pamoja na vita ya maneno. Tumegeuka kuwa midomo yao bila ya sisi wenyewe kuchukua muda na kutafakari.
Freeman na Rostam ni wanasiasa, isitoshe ni wafanya biashara pia. Kwa hiyo basi migongano ya kimaslahi kama wafanyibiashara inawezekana ni sababu tosha ya mmoja wao kumwonea wivu mwingine, hii ni kawaida ya binadamu haikwepeki.
Ninashauri mashabiki chukueni muda kutafakari zaidi na mjiulize maswali lukuki, itakuwaje siku ya siku hawa wafanyabiashara wawili wakipatana na hata kufikia Rostam kununua Tanzania Daima au Freeman kununua Rai? Je, mtakuwa katika nafasi gani siku Freeman akiamua kumpa ajira tena Balile?
Tuna matatizo mengi ya kijamii yanayohitaji attention yetu na sio kuwapigia debe wenye nazo.
Wengi wetu tumeingia mkenge wa ushabiki pasi na kuangalia kwa kina ni nini kilichopelekea mzozo kama huu.
Leo hii hawa wakubwa wawili wanaomiliki vyombo hivi vya habari vya Tanzania Daima na Rai hawako kwenye terms nzuri baina yao, na wanawatumia wananchi wa kawaida katika kufanikisha mambo yao, ikiwa ni pamoja na vita ya maneno. Tumegeuka kuwa midomo yao bila ya sisi wenyewe kuchukua muda na kutafakari.
Freeman na Rostam ni wanasiasa, isitoshe ni wafanya biashara pia. Kwa hiyo basi migongano ya kimaslahi kama wafanyibiashara inawezekana ni sababu tosha ya mmoja wao kumwonea wivu mwingine, hii ni kawaida ya binadamu haikwepeki.
Ninashauri mashabiki chukueni muda kutafakari zaidi na mjiulize maswali lukuki, itakuwaje siku ya siku hawa wafanyabiashara wawili wakipatana na hata kufikia Rostam kununua Tanzania Daima au Freeman kununua Rai? Je, mtakuwa katika nafasi gani siku Freeman akiamua kumpa ajira tena Balile?
Tuna matatizo mengi ya kijamii yanayohitaji attention yetu na sio kuwapigia debe wenye nazo.
Tz Daima- nitafutieni sehemu ilipo mpinga Mbowe na CHADEMA.
Ndiyo RAI ni ya RA na LOWASA na TZ Daima ni ya MBOWE na CHADEMA huo ndio ukweli.
Ukipenda CHONGO ni KENGEZA.
Ukweli ni wote hao RAI na TZ daima wanawatumikia mabwana wao ama MABEBERU wao.
Hii imetoka kwenye RAI la tarehe 18-24 Septemba 2008, toleo namba 782.
I remain speechless!
Pundamilia07,
Naona hapa umepotoka kidogo. mimi namjua mbowe kama m/kiti wa chadema. sijui mimi kama anamiliki t/daima. namjua rostam kama mbunge wa igunga. na ndio mwanzo na connection hii inapoanzia. ukisema vingine utakuwa unapoteza mweleko.
Wakiwa wamiliki wa hizo biashara then wanatoa policy tu sasa ni kazi ya wataalam kuwork on it. ukitaka kutupeleka huko tutafanya kazi za akina balile na kibanda na tutachanganyikiwa kama balile. Hata wewe haya ni maoni yako based on politics, je nikisema unasema hivi kutokana na mazingira yako kwa sasa utanielewa?
asante