RAI - Nguvu ya Hoja?

RAI - Nguvu ya Hoja?

Wacha nimpigie Balile nisikie anasemaje .Sijui kama atakumbuka utabiri wangu .

ukimpata mwambie kuwa alianzisha mjadala hapa JF kisha hakurudi kujibu hoja zangu

Mwambie kuwa I really miss him na michango yake...na tunamhitaji arudi
 
Baada ya wazee wa ufisadi sasa ni wakati wa makuwadi wao.....

Tanzanianjema
 
Habari zinazoingia sasa hivi zinadokeza kuwa Mhariri wa gazeti la RAI Bw. Balile ameondolewa wadhifa wake huo. More to come!

Hivi huyu mtu ni vipi hasa? Wakuu wenye habari zake tupeni vizuri mara ya mwisho niliona akiepwa heshima sana hapa JF kuwa amemamliza shule UK, hivi huyu ni nani ayways?
 
Hivi huyu mtu ni vipi hasa? Wakuu wenye habari zake tupeni vizuri mara ya mwisho niliona akiepwa heshima sana hapa JF kuwa amemamliza shule UK, hivi huyu ni nani ayways?


ES
MBONA mTALII ALISHAMWELEZEA VIZURI TUU HUKO NYUMA? HEBU SOMA HAPA:

Balile Acha Kujipendekeza Kwa Membe
Nimepitia makala yako sioni umuhimu wa kusema kuwa wafanyakazi wa wizara ya mambo ya nje wanahitaji kusoma kozi ya conflict Resolution ili waweze kutatua migogoro.

Jee DR.Salim Ahmed Salim ambaye amekubaliwa na mataifa yote atuwakilishe ana hiyo qualification? au duniani hakuna watu wenye hiyo digrii?ndio maana akapewa Salim Ahmed?

Mwalimu Nyerere nae alikuwa akipewa kazi hizo jeee nae ana digrii hiyo?

kusema kuwa wizarani hakuna watendaji si kweli labda una chuki nao tu, na kitendo chako cha kuwa Ulaya huko HULL haina maana kuwa wewe ndio mjuaji kuliko watu walioko wizarani.

WaTanzania hao hao ndio waliopewa dhamana huko mahakama ya Arusha mtu kama jaji Chande hana CONFLICT RESOLUTION.

BALILE hatuwezi kuwekeza kwenye fani ya migogoro kwa kiasi unachotaka wewe ( miaka 19-30) mtu ukisomea migogoro unakuwa umejibana sana.

kuna rafiki yangu alipata division one point saba ECA badala ya kwenda UDSM kufanya B.COM au kozi nyingine akaenda kufanya Material management Mzumbe kisa alimuona jirani yake anamiliki gari na alikuwa akifanya kazi kampuni ya chakula cha kuku.

huyo jamaa yangu alitafuta sana kazi hakupata, kwani kozi aliyoisoma ilikuwa ina nguvu kipindi cha ukiritimba wa Mwalimu.

kifupi kuna kozi ambazo ni short term na hazina future in long term.

BALILE uliza wangapi wamemaliza INTERNATIONAL RELATIONS na wanatembea na vyeti vyao mikononi?itakuwa na hiyo kozi yako?sababu International Relation eneo lake ni finyu sana ukikosa kazi wizara ya mambo ya nje inakuwa taabu maeneo mengine.

hiyo migogoro iko mingapi ambayo tutapewa?

imagine wewe umesoma B.A CONFLICT RESOLUTION na unafanya kazi wizara ya nje unashughulikia mgogoro wa Zimbambwe jee unapoisha mgogoro wa Zimbambwe unafanya nini? ukifukuzwa kazi wizara ya mambo ya nje utafanya kazi wapi?

Najua inawezekana ndungu yangu unababaika na kila cha ulaya kuna vingine si vyetu.ukitizama westminster university wana masters ya LONDON STUDIES jee kozi hii inatusaidia nini sisi kama watanzania? au na sisi tuanzishe DSM STUDIES?

Wizara kama wizara itakuwa na mtaalam wa mambo hayo lakini si kuidharau wizara na kutulazimisha tusomeshe kwa wingi conflict Resolution. tena usiwadanyanye watu wafanye undergraduate. mtu anaweza kuwa na Law halafu masters akafanya hiyo kozi yako ili awe na pa kushikia.

Makala ya Balile.

Makala -Membe; fursa hii tusiipoteze

SOURCE BONYEZA HAPA:

https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=58038
 
WANg'oane hata meno,si ni mafisadi na dawa ya msaliti siku zote ni hiyo.sina cha kumsikitikia kwani kajitakia
 
Kithuku kuwa mtulivu na soma kwa makini mabandiko juu ya Balile hapa jamvini .Kwa nini ni habari then uje ujadili vinginevyo tulia mkuu wacha tufuatilie .

Nimekupata mkuu, ndio nimemaliza kuyasoma. Nakajua haka kajamaa kwa mbali kalipokuwa na gazeti la Tanzania Daima, lakini sikuwahi kufikiri kuwa kalikuwa na ushawishi wowote (wa maana) katika mambo ya kitaifa. Halafu akawa "mtetezi" wa Lowassa "kiaina" wakati wa Richmond. Sikumbuki walikosana vipi na Mbowe au walishindana tu kimaslahi, ndipo nikasikia yuko kwenye Rai. Ndipo nikadhani kwa habari ya leo, kuondoka (ama kuondolewa) kwake huko kwenye "Rai" ni sawa tu na alivyoondoka (au kuondolewa) kwa Mbowe, au kuna tofauti wakuu? Sijaona tofauti kati yake na yule mwimbaji Waziri Sonyo aliyekuwa anahamahama bendi kila kukicha. Atakaa mtaani kwa muda, utamsikia kesho yuko na gazeti lingine, namwona ni sawa tu na madereva wa daladala za Kiwalani, Manzese au sehemu kama hizo.
 
...........................hata kama ameacha kazi itakuwa zuga tu..baada ya kugundulika hata ni mtoto kuwa anatumika...haimgekuwa busara kuwa naye....ila watampeleka mahali pengine......
 
...........................hata kama ameacha kazi itakuwa zuga tu..baada ya kugundulika hata ni mtoto kuwa anatumika...haimgekuwa busara kuwa naye....ila watampeleka mahali pengine......


Popote watakapompeleka tutamfuatilia... hatutaweza tu kumfuatilia kuzimu...., acha nicheze mie.., mafisadi, watoto wa mafisadi, makuwadi wao na washenga wao wote tunao tu.

Waberoya
 
Wakuu, naomba msaada kwa mwenye jibu, siku nne zilizopita niliweka tahariri ya Tanzanian Daima ikishutumu ukiukwaji wa Bablile kimaadili, Je, kwa nini haikuliona jua hapa likichwa?
 
Hii ndo dawa safi ya makuwadi, na liwe fundisho kwa wengine wenye kupenda kujikomba komba hata wakadhalilisha utu wao na taaluma zao!
 
kichwa kukubwa akili ndogo. mwache aende na sijui ataajiriwa na nani kwa upeo alionao mdogo
 
Hii ndo dawa safi ya makuwadi, na liwe fundisho kwa wengine wenye kupenda kujikomba komba hata wakadhalilisha utu wao na taaluma zao!

Ni kweli uyasemayo. Huyu jamaa ni miongoni mwa makuwadi wengi wanaotumia vibaya taaluma zao kwa lengo la kushibisha matumbo yao. tena wakiachwa vivi hivi wanaweza kukiharibu kizazi kijacho kikawa cha mafisadi.
 
Habari zinazoingia sasa hivi zinadokeza kuwa Mhariri wa gazeti la RAI Bw. Balile ameondolewa wadhifa wake huo. More to come!

Nadhani hawajakosea na kilichomponza ni kujipendekeza kwake kwa mafisadi kwa sababu ya vyeti vya usuluhisi wa migogoro na dharau kwa wengine. kujipendekeza kwa mafisadi kunamfanya ajione kaimaliza dunia yote. wasahili wanasema, akili ya darasani ni punguani wa mtaani. maisha siku zote yanahitaji busara; kutenda kwa wema kwa maslahi ya walio wengi, siku kwa maslahi yako na wanao. lakini hawa mafisadi si mlisema wana mtandao mkubwa kwa hao mnaowaita waandishi? hewa fuatlieni mtujulishe na 'mapopo'.
 
Nadhani hawajakosea na kilichomponza ni kujipendekeza kwake kwa mafisadi kwa sababu ya vyeti vya usuluhisi wa migogoro na dharau kwa wengine. kujipendekeza kwa mafisadi kunamfanya ajione kaimaliza dunia yote. wasahili wanasema, akili ya darasani ni punguani wa mtaani. maisha siku zote yanahitaji busara; kutenda kwa wema kwa maslahi ya walio wengi, siku kwa maslahi yako na wanao. lakini hawa mafisadi si mlisema wana mtandao mkubwa kwa hao mnaowaita waandishi? hewa fuatlieni mtujulishe na 'mapopo'.



Maneno yako yana uzito mkubwa mno na yanaweza yakawa yamezima mjadala huu .Asante sana kwa ujumbe huu .
 
Back
Top Bottom