Raia atakayetoa taarifa ya mhalifu Dar kulipwa Mil. 2

Raia atakayetoa taarifa ya mhalifu Dar kulipwa Mil. 2

Mmmh jeshi hili, milioni 2, utalipa wewe mtoa taarifa, maana utasaidia polisi ukiwa kama mtuhumiwa wewe mtoa taarifa.
Hawa siwaamini, 😂wanaweza kukupost hadi picha yako kwamba huyu ndiyo SNITCH.

Waweke tu anonymous namba wapewe taarifa.

Everyday is Saturday............................... 😎
Wanakuuza mchana kweupe
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetangaza donge nono la kiasi cha shilingi milioni mbili kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa za kweli na kwa usiri mkubwa kwa jeshi hilo kuhusu mtu anayefanya uhalifu wa kutumia silaha, lengo likiwa ni kuhakikisha mkoa huo unabaki kuwa shwari.

MULIROOO%20WEB.jpg

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Muliro Jumanne

Kauli hiyo imetolewa leo Juni 23, 2021, na Kamanda wa kanda hiyo Muliro Jumanne, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Capital Radio, na kwamba siri ya mtoa taarifa itatunzwa na pesa hizo atapatiwa kwa siri bila kuzungushwa.

"Tumeamua kutangaza donge nono la zawadi ambazo tutawapatia kwa siri watakaotuletea taarifa za kweli zilizosahihi za kuwakamata katika mazingira yoyote watu wanaojihusisha na vitendo vya unyang'anyi wa kutumia silaha, na wakikamatwa pamoja na silaha zao, tutatoa milioni 2 palepale mchezo ukikamilika anapewa pesa yake hakuna mzunguko na hili ni zoezi endelevu," amesema Kamanda Muliro.

Aidha, Kamanda Muliro amewataka wahalifu Jijini Dar es Salaam kuchagua mambo mawili kuendelea kuingia kwenye msuguano na jeshi la polisi ama kuwa raia wema.

Chanzo: EATV
Mshahara wa huyo kamanda ni bei gani ili nijue kama kweli ntapewa 2M au tutagawana na kikosi kazi 😅😅😅
 
Mmmh jeshi hili, milioni 2, utalipa wewe mtoa taarifa, maana utasaidia polisi ukiwa kama mtuhumiwa wewe mtoa taarifa.
Hawa siwaamini, 😂wanaweza kukupost hadi picha yako kwamba huyu ndiyo SNITCH.

Waweke tu anonymous namba wapewe taarifa.

Everyday is Saturday............................... 😎
Polisi wa bongo hawaaminiki
Umtaje askari ni mwalifu unajipenda kweli wewe 😂😂😂
Unaenda polisi kutoa taarifa. Halafu polisi hao hao wanawaambia wahalifu, kuna jamaa hapa anawajua vizuri shughuli zenu mmalizeni.

Wahalifu utawajua tu jinsi wanavyowakatisha tamaa raia wema. Ila kumbukeni kwamba hii ni ajira kama ajira zingine. Kisayansi inaitwa fursa kwenye changamoto.
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetangaza donge nono la kiasi cha shilingi milioni mbili kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa za kweli na kwa usiri mkubwa kwa jeshi hilo kuhusu mtu anayefanya uhalifu wa kutumia silaha, lengo likiwa ni kuhakikisha mkoa huo unabaki kuwa shwari.

MULIROOO%20WEB.jpg

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Muliro Jumanne

Kauli hiyo imetolewa leo Juni 23, 2021, na Kamanda wa kanda hiyo Muliro Jumanne, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Capital Radio, na kwamba siri ya mtoa taarifa itatunzwa na pesa hizo atapatiwa kwa siri bila kuzungushwa.

"Tumeamua kutangaza donge nono la zawadi ambazo tutawapatia kwa siri watakaotuletea taarifa za kweli zilizosahihi za kuwakamata katika mazingira yoyote watu wanaojihusisha na vitendo vya unyang'anyi wa kutumia silaha, na wakikamatwa pamoja na silaha zao, tutatoa milioni 2 palepale mchezo ukikamilika anapewa pesa yake hakuna mzunguko na hili ni zoezi endelevu," amesema Kamanda Muliro.

Aidha, Kamanda Muliro amewataka wahalifu Jijini Dar es Salaam kuchagua mambo mawili kuendelea kuingia kwenye msuguano na jeshi la polisi ama kuwa raia wema.

Chanzo: EATV
WAfungue uzi hapa hapa JF watapata taarifa bila hata hayo malipo.
 
Wahalifu utawajua tu jinsi wanavyowakatisha tamaa raia wema. Ila kumbukeni kwamba hii ni ajira kama ajira zingine. Kisayansi inaitwa fursa kwenye changamoto.
Mkuu, kwanini kuandikia mate.

Wewe ukiokota kifaa chochote cha kijeshi au hata bunduki ipeleke polisi kwa nia njema tu.

Au ukikuta mtu kauawa, ametupwa wewe katoe taarifa polisi kwa nia njema tu.

Ukimaliza waulize wale wazee wa kufichua wakwepa kodi, kile kimgawo chao wanachoahidiwa na TRA huwa wanapewa ??!
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetangaza donge nono la kiasi cha shilingi milioni mbili kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa za kweli na kwa usiri mkubwa kwa jeshi hilo kuhusu mtu anayefanya uhalifu wa kutumia silaha, lengo likiwa ni kuhakikisha mkoa huo unabaki kuwa shwari.

MULIROOO%20WEB.jpg

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Muliro Jumanne

Kauli hiyo imetolewa leo Juni 23, 2021, na Kamanda wa kanda hiyo Muliro Jumanne, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Capital Radio, na kwamba siri ya mtoa taarifa itatunzwa na pesa hizo atapatiwa kwa siri bila kuzungushwa.

"Tumeamua kutangaza donge nono la zawadi ambazo tutawapatia kwa siri watakaotuletea taarifa za kweli zilizosahihi za kuwakamata katika mazingira yoyote watu wanaojihusisha na vitendo vya unyang'anyi wa kutumia silaha, na wakikamatwa pamoja na silaha zao, tutatoa milioni 2 palepale mchezo ukikamilika anapewa pesa yake hakuna mzunguko na hili ni zoezi endelevu," amesema Kamanda Muliro.

Aidha, Kamanda Muliro amewataka wahalifu Jijini Dar es Salaam kuchagua mambo mawili kuendelea kuingia kwenye msuguano na jeshi la polisi ama kuwa raia wema.

Chanzo: EATV
Hela zinavyosumbua ,hili deal litapata wateja.Waandae tuu hizo chenji.Kwa sababu kuna kutoana sadaka majambazi kwa majambazi wao kwa wao.

Sema angetuambia hapa namna ya kutoa hizo taarifa,kumkopi IGP
 
Mkuu, kwanini kuandikia mate.

Wewe ukiokota kifaa chochote cha kijeshi au hata bunduki ipeleke polisi kwa nia njema tu.

Au ukikuta mtu kauawa, ametupwa wewe katoe taarifa polisi kwa nia njema tu.

Ukimaliza waulize wale wazee wa kufichua wakwepa kodi, kile kimgawo chao wanachoahidiwa na TRA huwa wanapewa ??!
Woga wako ndilo kaburi lako.

 
"Tumeamua kutangaza donge nono la zawadi ambazo tutawapatia kwa siri watakaotuletea taarifa za kweli zilizosahihi za kuwakamata katika mazingira yoyote watu wanaojihusisha na vitendo vya unyang'anyi wa kutumia silaha, na wakikamatwa pamoja na silaha zao, tutatoa milioni 2 palepale mchezo ukikamilika anapewa pesa yake hakuna mzunguko na hili ni zoezi endelevu," amesema Kamanda Muliro.

Chanzo: EATV
Mchezo Ukikamilika ?, Anyways ni Jambo Jema..., Ninashauri na fungu la hizi milioni mbili mbili zitoke kwenye yale makusanyo ya Faini kutoka kwa waharifu wengine
 
Serikali imebuni chanzo kipya cha ajira.

Sasa mimi kumpoint Dullayo Rasta na Side Nyenje ni kazi? Na hivi muda wote wanatembea na visu.

Narudi Dar kujiajiri.
 
Back
Top Bottom