Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
ilo ni jembe pamoja na RCIla huyu RPC mpya inaonesha hatanii mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilo ni jembe pamoja na RCIla huyu RPC mpya inaonesha hatanii mtu
Watu waoga-waoga kama nyie ndio mnatuharibia nchi. Haya basi mnaogopa kule field, na huku pia mnaogopa!???Mkuu, kwanini kuandikia mate.
Wewe ukiokota kifaa chochote cha kijeshi au hata bunduki ipeleke polisi kwa nia njema tu.
Au ukikuta mtu kauawa, ametupwa wewe katoe taarifa polisi kwa nia njema tu.
Ukimaliza waulize wale wazee wa kufichua wakwepa kodi, kile kimgawo chao wanachoahidiwa na TRA huwa wanapewa ??!
Lazima unyooshe maelezoUnatoa taarifa ukitegemea upewe milioni 2 mwisho unaunganishwa na mhalifu mwenyewe.
Kama nia ya dhati ipo itawezekana kumtaja, lkn kama nia ni kuwa-fool wananchi kweli haitowezekana.Umtaje askari ni mwalifu unajipenda kweli wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ni kwenda kiakili,Sawa pambana bro ila usije ukapigwa bisto za matako kama Lissu na hao hao waliokuita kwenye fursa😅😅😅
Kuna siku nimesafiri na magari ya IT yanayosafr usiku, madereva wana buku 2-2 kama 60k, kila wakikutana na checkpoint wanatoa buku 2.Hivi bongo ni kada ipi inafuata kwa rushwa ukiondoa polisi?
Hivi wewe unawezaje kumjua mtu anaepora kwa bunduki bila kumuona/kushirikiana nae?! Utawaambia vizuri umemjuaje au ulikosa mgao?!!Syo poor huo ni kama u informer
Wale machawa sasa watafanya sana kazi
Ova
Ukimwambia Sirro kuwa raia hawana imani na polisi wako yeye anasema hao ni wakorofi wachache ambao ni wahalifu ndio wanachukia polisi, sasa hizi comments akizipitia atapata majibu sahihi.Unaenda polisi kutoa taarifa. Halafu polisi hao hao wanawaambia wahalifu, kuna jamaa hapa anawajua vizuri shughuli zenu mmalizeni.
Soma hawa 👇Ukimwambia Sirro kuwa raia hawana imani na polisi wako yeye anasema hao ni wakorofi wachache ambao ni wahalifu ndio wanachukia polisi, sasa hizi comments akizipitia atapata majibu sahihi.
👇👇Watu waoga-waoga kama nyie ndio mnatuharibia nchi. Haya basi mnaogopa kule field, na huku pia mnaogopa!???
Unapewa mchana jioni wanaifata hela yao tena wakikuta haijatimia utawaeleza vzrMshahara wa huyo kamanda ni bei gani ili nijue kama kweli ntapewa 2M au tutagawana na kikosi kazi 😅😅😅