Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Hahaha bora ukae kimyaUnatoa taarifa ukitegemea upewe milioni 2 mwisho unaunganishwa na mhalifu mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha bora ukae kimyaUnatoa taarifa ukitegemea upewe milioni 2 mwisho unaunganishwa na mhalifu mwenyewe.
Mbona hamjaandika kama ameua tena huyu jamaa? Tangia amehamia dar keshaua raia 6 akiwatoa kafara ili aonekane anafanya kazi, nitumie jukwaa hili kumpelekea ujumbe kwamba kila anayeua haishi muda mrefu ajikumbushe bwana shana yuko wapi aliyekuwa anaua watoto wa watu kisha anashangiria.Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetangaza donge nono la kiasi cha shilingi milioni mbili kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa za kweli na kwa usiri mkubwa kwa jeshi hilo kuhusu mtu anayefanya uhalifu wa kutumia silaha, lengo likiwa ni kuhakikisha mkoa huo unabaki kuwa shwari.
![]()
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Muliro Jumanne
Kauli hiyo imetolewa leo Juni 23, 2021, na Kamanda wa kanda hiyo Muliro Jumanne, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Capital Radio, na kwamba siri ya mtoa taarifa itatunzwa na pesa hizo atapatiwa kwa siri bila kuzungushwa.
"Tumeamua kutangaza donge nono la zawadi ambazo tutawapatia kwa siri watakaotuletea taarifa za kweli zilizosahihi za kuwakamata katika mazingira yoyote watu wanaojihusisha na vitendo vya unyang'anyi wa kutumia silaha, na wakikamatwa pamoja na silaha zao, tutatoa milioni 2 palepale mchezo ukikamilika anapewa pesa yake hakuna mzunguko na hili ni zoezi endelevu," amesema Kamanda Muliro.
Aidha, Kamanda Muliro amewataka wahalifu Jijini Dar es Salaam kuchagua mambo mawili kuendelea kuingia kwenye msuguano na jeshi la polisi ama kuwa raia wema.
Chanzo: EATV
HahahahahaThanks
Unapewa mchana jioni wanaifata hela yao tena wakikuta haijatimia utawaeleza vzr
siyo wakuwaamini hawa
Mshahara wa constable tu haufiki million 2Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetangaza donge nono la kiasi cha shilingi milioni mbili kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa za kweli na kwa usiri mkubwa kwa jeshi hilo kuhusu mtu anayefanya uhalifu wa kutumia silaha, lengo likiwa ni kuhakikisha mkoa huo unabaki kuwa shwari.
![]()
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Muliro Jumanne
Kauli hiyo imetolewa leo Juni 23, 2021, na Kamanda wa kanda hiyo Muliro Jumanne, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Capital Radio, na kwamba siri ya mtoa taarifa itatunzwa na pesa hizo atapatiwa kwa siri bila kuzungushwa.
"Tumeamua kutangaza donge nono la zawadi ambazo tutawapatia kwa siri watakaotuletea taarifa za kweli zilizosahihi za kuwakamata katika mazingira yoyote watu wanaojihusisha na vitendo vya unyang'anyi wa kutumia silaha, na wakikamatwa pamoja na silaha zao, tutatoa milioni 2 palepale mchezo ukikamilika anapewa pesa yake hakuna mzunguko na hili ni zoezi endelevu," amesema Kamanda Muliro.
Aidha, Kamanda Muliro amewataka wahalifu Jijini Dar es Salaam kuchagua mambo mawili kuendelea kuingia kwenye msuguano na jeshi la polisi ama kuwa raia wema.
Chanzo: EATV
Uliondoka kisa nini?Serikali imebuni chanzo kipya cha ajira.
Sasa mimi kumpoint Dullayo Rasta na Side Nyenje ni kazi? Na hivi muda wote wanatembea na visu.
Narudi Dar kujiajiri.
Maisha magumu nigga.Uliondoka kisa nini?
[emoji16] Bongo nyosoMaisha magumu nigga.
Kwa hiyo Mkuu hata Muliro mwenyewe humuamini? Kumpata RPC direct Kwa simu ni rahisi Sana Siku hiziTatizo ndani yao kuna wasaliti.
Uzia watu maeneo ya wazi Kigamboni hapo[emoji16] Bongo nyoso
Uwanja wa machava nimeuweka sokoniUzia watu maeneo ya wazi Kigamboni hapo
Ni RPC poa sana. Sisi wa Mwanza tumehuzunika sana kwa kuhama,lakini ndio sifa ya mwajiriwa. Ila kwenye hili la kutoa m. 2 eti kwa mtoa taarifa, HAPANA! Au nasema uongo ndugu zangu!!!???Ila huyu RPC mpya inaonesha hatanii mtu