Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Marais wa Afrika ni walewale, uchawa na ujinga kila sehemuš¹š¤£š¤£
====
====
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Saddam alikuwa na Choo cha Solid Gold na mlikuwa mnamsifia.Viongozi wa kiafrika wengi hamnazo
Alikua anasifiwa nanani kwanza hio habari ndio kwanza naisikia leo ila kama kweli alikua hivyo nae alikua mjinga kama wajinga wengine hili la huyo bwege wala hakejeliwi sababu ya rangi yake anakejeliwa sababu ya ujinga na utumbo wake alioufanyaMbona Saddam alikuwa na Choo cha Solid Gold na mlikuwa mnamsifia.
Au umepata fursa tu ya kumkejeli Kiongozi Mweusi wa Kiafrika?!
Ndo maana Trump anawapa za usoViongozi wa kiafrika wengi hamnazo
Enhee,swali makinKm dhahabu ipo nyingi nchini humo hakuna tatizo
Na jee kajenga mwenyewe hilo sanamu au kazi ya chawa wake!?
Huyu si inasemekana kuwa ni mmoja wa Maraisi makini hapa Barani Afrika?!