Raia Ghana walalamika baada ya Rais wao Nana Akufo-addo kuzindua sanamu yake ilinokshiwa na rangi ya shaba!

Mbona Saddam alikuwa na Choo cha Solid Gold na mlikuwa mnamsifia.

Au umepata fursa tu ya kumkejeli Kiongozi Mweusi wa Kiafrika?!
Wananchi wake walikuwa wanaishije kwenye uongozi wake? Tuanzie hapo
 
Wananchi wake walikuwa wanaishije kwenye uongozi wake? Tuanzie hapo
Sunni Arabs walikuwa wanaishi vizuri na gerentii za kazi za Serikali kwa upande mwingine Shia Arabs walikuwa wakisakwa na vikosi vya Mukhabaraat vya Sadam na kubambikiwa kila aina ya makesi na kufungwa kupotezwa na kuuwawa.
 
Viongozi kama hawa ndiyo wanasababisha Trump na wazungu we wenzie wanatuzadharau ,inaaezekanaje Rais kujitengenezea sanamu ya mabilioni ili hali wananchi wake wengi wanaishi maisha mabovu???
 
Hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…