Raia Mpenda Misifa: Ukiambiwa umefanana na mtu wa usalama usifurahie. Hiyo sio sifa nzuri. Unaweza ukadhurika kwa bahati mbaya (Mistaken Identity)

Lissu hakuna kitu hata kimoja anaweza kuwa mbele ya Magufuli. Kipigo atachopewa October anaweza kuwachukia Watanzania wote.
 
Unawaita njaa tupu wakati panya road walivyoibuka mkawa mnaomba msaada wao?

Acha kukejeli kazi za watu.
Wewe na familia yako kura zenu mkimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Dr Magufuli ni kipenzi cha Watanzania na tutampigia kura kwa 98% Vijana wachache wa Chadema mwaka huu mtajiua sana.
 
Aliwatetea Mabeberu baada ya kuona maji yamezidi Unga yakaja kuomba radhi kwa Rais Magufuli.
 
Kama madini yanabebwa hovyo kila siku kilio cha kunyonywa hakiishi Bora tuwaite njaa tupu.
Sio sahihi kumuita binadamu mwenzio njaa tupu wakati hajawahi kuja kuomba chakula kwako. Huko ni kudhalilishana. Mungu hapendi hivyo.
 
Mimi binafsi sipendi kufananishwa nao ila ishanitokea mtaani kwangu ninakoishi nakila ninavyo jaribu kukana ndio wadau wanazid kuamin naficha my cover
Daaah, wanakuhatarishia usalama wako binafsi hao mkuu...
 
sina chakufanya zaid yakoenjoy tu the benefits of an economy of the scale that comes along with the title naheshimika na vibaka na maaskari kwenye eneo langu
Sawa mkuu, endelea tu kuheshimika ila kuwa makini sana na hiyo CV yako ya kudhaniwa kuwa ni mtu wa usalama
 
Udhalili wa hiyo kazi ni tofauti na kazi nyingine
 
Hivyo hakuna anayejifanya usalama wa taifa kwa sababu raia wote wanapotimiza majukumu yao wote ni usalama wa taifa.
 
Hivyo hakuna anayejifanya usalama wa taifa kwa sababu raia wote wanapotimiza majukumu yao wote ni usalama wa taifa.
Wapo wanaojifanya kuwa wao ni watu wa idara ya ujasusi, Police na TPDF/JWTZ
 
Hata wewe unalilinda taifa unapotoa taarifa polisi,na wewe ni usalama wa taifa pia.
Upo sahihi kabisa mkuu.

Tena sio Polisi pekee bali mimi kama raia mwema ninapaswa kuanza kwa kutoa taarifa kwa mjumbe wangu wa nyumba 10 kama hatokuwepo ndio sasa niende kwa mtendaji wa serikali ya mtaa kabla ya kufika katika kituo cha polisi kilicho karibu yangu.
 
Sawa mkuu, endelea tu kuheshimika ila kuwa makini sana na hiyo CV yako ya kudhaniwa kuwa ni mtu wa usalama
nmegundua ina advantage nyingi za kiusalama hii title ikija yenyewe na usipoitumia hata kidogo acha watu wahis tu ila ukiitafuta ndio lazima uilipie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…