Raia Mpenda Misifa: Ukiambiwa umefanana na mtu wa usalama usifurahie. Hiyo sio sifa nzuri. Unaweza ukadhurika kwa bahati mbaya (Mistaken Identity)

Panya road ni kama mfano tu wa matukio ya kihalifu yaliyokuwa yanaendelea katika jamii yetu ya huku Dar.

Kuna ujambazi pamoja na tatizo la drugs...
Mimi nimepinga huo mfano wa panya road. Huwezi toa mfano ambao hauendani kabisa, ukiambiwa sio unakomaa eti ni mfano tu.
Hata kwenye material things kuna prototype na type, huwezi pewa tenda ya helicopter wewe ukatengeneza kifaru ukawaambia si ni mfano tu.

Now twendelee na usalama wa taifa. Ila sio babu yako mkulima wa mahindi, hapa tuwaseme TISS, MOSSAD, FSB, CIA, ISI, MI6, etc.
 

kwamba panyaroad sio level za TISS!!!!bora ungesema sio level za polisi ungekuwa unakaribia ukweli.

mkuu TISS haina dogo kaka unavyofikiri.kila jambo hulichukulia kwa uzito mkubwa,maana madhala hayatabiriki yatagusa wapi??
 
Panya road sio kesi ya level za TISS.
TISS wanaweza kusaidiana na Police pamoja na TPDF (pale panapokuwa na ulazima) katika kupambana na panya road.

Makundi makubwa ya kigaidi kama ISIS yalianzia mtindo huu huu wa akina Panya road.

Kumbuka, mdharau mwiba, mguu huota tende.
 
Uko sahihi sana. RCO na DSO wanasimamia ulinzi wa maeneo yao ya utawala. Ila wao si lazima directly watokee TISS. Ila DG wa TISS anakaa kwa cheo hiki tu na anajulikana hivyo. Ukienda kwa RCO atavaa cheo cha serikali. Sasa, pewa jukumu la kuwaface TISS directly ofisini hapo ndo kuna ugumu kiasi chake. That was my point
 
Hii kitu ni noma sana, mwaka jana nilikaribia "kumpoteza" mtu hivi hivi baada ya hiyo kuhisiwa sana kwamba ni mtu wa usalama. Bahati mbaya alikuwa ni mtu wa watu sana na kujichanganya hivyo ile hali ilimletea matatizo sana, Extraction yake haikuwa ya kitoto(Alijifanyia mwenyewe na kutengeneza escape route). Aliponea chupu chupu. Nilipopata taarifa zake hadi mimi pia nilimuopgopa nikadhani hao watu hawakumuhisi bure labda kuna kitu..

Hii vijana kupenda kujimwambafai mtaani ni noma, kuna watu wa hatari sana huko mtaani.
 
Mimi nimepinga huo mfano wa panya road. Huwezi toa mfano ambao hauendani kabisa, ukiambiwa sio unakomaa eti ni mfano tu.
Panya road wasipothibitiwa mapenzi ndio wanakuja kuwa makundi makubwa ya kigaidi.

Angalia mfano wa Syria. Machafuko yanayoendelea sasa hivi yalianza kama maandamano tu ya kawaida ya wananchi kisha wazungu wakawapa silaha pamoja na mafunzo ya kijeshi.

Panya road wasipodhibitiwa unaweza kuwa mwanya wa maadui wa taifa kuidhuru Tanzania.
 
Kwa hiyo watu wa usalama wa MOSSAD uliotaja ni sawa na mkulima wa mahindi babu yako.
Upo sahihi kabisa mkuu. Njaa pia ni sehemu ya adui wa taifa ndio maana kuna wizara maalum ya kushughulika na kilimo pamoja na mamlaka mahusus ya uhifadhi wa chakula (NFRA).

The same applies to Isarael and its intelligence apparatus, the MOSSAD...
 

na hili ndio kubwa nikitaka ulitaje ili twende sawa.

ndio maana tunakung'ang'aniza kwamba TISS kama idara ni kipande miongoni mwa taasisi za usalama wa taifa general,wanaofamika rasmi ni walinzi viongozi na mkurugenzi mkuu.wengine hutawaona katika rangi unayoitarajia.
maana watendaji rasmi wa kuuwakilisha USALAMA wapo. polisi,jeshi,takukuru,nk.

kwahiyo unapobeza uhusika wa TISS katika kupambana na panyaroad,unakuwa hujaelewa hasa TISS ni kitu gani.
 
Sisi unataka tusijifananishe na wanausalama, yani tusijifananishe na wakulima wa mahindi kama babu yako kwa maana majambazi watatudhuru.
Jambazi ni adui wa taifa kama ilivyo njaa. Wote wanapaswa kushughulikiwa na mamlaka za serikali kwa mbinu na nguvu stahiki...
 
Ila DG wa TISS anakaa kwa cheo hiki tu na anajulikana hivyo. Ukienda kwa RCO atavaa cheo cha serikali. Sasa, pewa jukumu la kuwaface TISS directly ofisini hapo ndo kuna ugumu kiasi chake. That was my point
Sawa
 
Una uhakika na unachoongea japo kwa asilimia moja ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…