Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #141
Usalama wa raia ndio huo huo usalama wa taifa kwa maana taifa ni mali ya raia.Tofautisha Usalama wa RAIA vs Usalama wa Taifa!
Waliofananishwa wanapaswa kukataa katakata na sio kuchekelea kama watoto wadogo.Hujashauri chochote lakini kuhusu nini mhusika afanye pindi atakapofananishwa nao wa usalama. Naongelea wale waliofananishwa siyo wanaojifanya.
Usijihusishe nayo hiyo kazi kama haikuhusu. Upo kama mimi.Wazazi wangu walinikataza kabisa kujihusisha na hiyo kazi
Kukataa hakusaidii kitu, maana inajulikana usalama wa taifa hawataki kujulikana. Kwa upande wangu ningeshauri mhusika ajifunze mbinu hao wa usalama za kujihami na ikiwezekana ahame eneo hilo.Waliofananishwa wanapaswa kukataa katakata na sio kuchekelea kama watoto wadogo.
Upo sahihi kwa kiasi fulani mkuu.Kukataa hakusaidii kitu, maana inajulikana usalama wa taifa hawataki kujulikana. Kwa upande wangu ningeshauri mhusika ajifunze mbinu hao wa usalama za kujihami na ikiwezekana ahame eneo hilo.
usalama wa taifa hawataki kujulikana.
Atajifunzaje hizo mbinu za kujihamia wakati majasusi hawajulikani? Atamuuliza nani ilhali hawafahamiki?Kwa upande wangu ningeshauri mhusika ajifunze mbinu hao wa usalama za kujihami
Huko Polisi anamshtaki nani? Polisi hawafanyii kazi majungu.Upo sahihi kwa kiasi fulani mkuu.
Vp na huko anapohamia kama wakianza tena kumfananisha na watu wa usalama? Atahitajika kuhama tena?
Mimi naona akiendelea kukataa ila watu wakazidi kumlazimisha kuwa NI YEYE, basi aende akatoe taarifa Police kwa usalama wa maisha yake.
Akawashtaki hao wanaotaka kuhatarisha usalama wa maisha/uhai wakeHuko Polisi anamshtaki nani?
Ila hayo hayo wewe unayoyaita majungu yatakapo sababisha kifo au ulemavu wa kudumu, Police watahusika katika upelelezi? Au sio boss?Polisi hawafanyii kazi majungu.
Mbona umekuwa kimya ghafla mkuu?Huko Polisi anamshtaki nani? Polisi hawafanyii kazi majungu.
Human Intelligence haiwezi kubadilika sema tu inaweza ikaboreshwa na kuwa bora zaidi kulingana na mahitaji ya wakati husika.Sikuizi mashirika yanatumia spy equipment sio hao vijana wanaoona sifa kufananishwa hawatambui technolojia ya sasa dunia imebadilika
Zinafanya kazi za binadaamu kumi zimepunguza uwingi wa binaadamu kwenye kazi husikaHuman Intelligence haiwezi kubadilika sema tu inaweza ikaboreshwa na kuwa bora zaidi kulingana na mahitaji ya wakati husika.
Hizo spying equipments zinaji-operate zenyewe pasipo msaada wa binadamu?
Upo sahihi sana mkuu na ndio maana na mimi nimesema kwa kuongezea kwamba, inaweza ikaboreshwa na kuwa bora zaidi kulingana na mahitaji ya wakati husika ila haiwezi kuondoa kabisa umuhimu wa uwepo wa mwanadamu katika operations.Zinafanya kazi za binadaamu kumi zimepunguza uwingi wa binaadamu kwenye kazi husika
Tofautisha Usalama wa RAIA vs Usalama wa Taifa!