Raia wa Botswana afungwa miaka mitatu kwa kuishi nchini kinyemela

Raia wa Botswana afungwa miaka mitatu kwa kuishi nchini kinyemela

Nchi imekuwa shamba la Bibi kweli kweli. Uhamiaji pitieni kwenye viwanda vya wahindi, wachina Waarabu na wapakstani, huko kuna wageni kibao wanaofanya kazi bila vibali. Yani mtu anakuwa na visitors visa lakini anafanya chochote atakacho what a shame.
Hayo yote kayarudisha bibi tozo Magufuli aliweka watu makini kwenye kutoa vibali vya kazi lakini Bibi tozo alivyo ingia ikulu akaanza na kamishna wa idara ya kazi kwakuwa alikuwa ana wabana wahindi na wachina kuwapa vibali vya kazi na sasa nchi imefunguliwa ni vurugumechi hakuna ulinzi tena kila mtu ana kula kwa urefu wa kamba yake na kupishana angani kama nchi inawaka moto
 
Akilipa ana rejeshwa kwao, akienda jela, kifungo kikiisha ni kwao na anaweza zuiliwa kuingia kwa muda fulani

Ndio maana ukienda ubalozini kutoa taarifa za uongo una pigwa zuio la kuingia nchini kwao

Yule muiran amerejeshwa kwao, wapo wengi pia walio pewa zuio kutoka mataifa makubwa (donor countries)
Wachina wamejaa huku nchini hawana vibali mnahangaika na mwafrika mwenzetu!
 
Back
Top Bottom