jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Wachina, wahindi, waarabu hawa fungwiAachie bhna, wote ni Waafrika na tamaduni zinafanana tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina, wahindi, waarabu hawa fungwiAachie bhna, wote ni Waafrika na tamaduni zinafanana tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hayo yote kayarudisha bibi tozo Magufuli aliweka watu makini kwenye kutoa vibali vya kazi lakini Bibi tozo alivyo ingia ikulu akaanza na kamishna wa idara ya kazi kwakuwa alikuwa ana wabana wahindi na wachina kuwapa vibali vya kazi na sasa nchi imefunguliwa ni vurugumechi hakuna ulinzi tena kila mtu ana kula kwa urefu wa kamba yake na kupishana angani kama nchi inawaka motoNchi imekuwa shamba la Bibi kweli kweli. Uhamiaji pitieni kwenye viwanda vya wahindi, wachina Waarabu na wapakstani, huko kuna wageni kibao wanaofanya kazi bila vibali. Yani mtu anakuwa na visitors visa lakini anafanya chochote atakacho what a shame.
Wachina wamejaa huku nchini hawana vibali mnahangaika na mwafrika mwenzetu!Akilipa ana rejeshwa kwao, akienda jela, kifungo kikiisha ni kwao na anaweza zuiliwa kuingia kwa muda fulani
Ndio maana ukienda ubalozini kutoa taarifa za uongo una pigwa zuio la kuingia nchini kwao
Yule muiran amerejeshwa kwao, wapo wengi pia walio pewa zuio kutoka mataifa makubwa (donor countries)