Akilipa ana rejeshwa kwao, akienda jela, kifungo kikiisha ni kwao na anaweza zuiliwa kuingia kwa muda fulani
Ndio maana ukienda ubalozini kutoa taarifa za uongo una pigwa zuio la kuingia nchini kwao
Yule muiran amerejeshwa kwao, wapo wengi pia walio pewa zuio kutoka mataifa makubwa (donor countries)