Raia wa Burundi Ashitakiwa kughushi Kitambulisho cha Mpiga kura na NIDA

Kuna vijana wa nchi inayopakana na Burundi waliokuwa wanasoma UDSM walikuwa wananunua viwanja huko mkuranga miaka ya nyuma. Bila shaka wameshapoteana tangu mfumo wa NIDA uanze kazi. Hata hivyo serikali ifuatilie hayo maeneo ya mkuranga ihakiki viwanja vyote maana hata magaidi walikuwa kule. Kwahiyo hao raia wa nchi jirani wanatakiwa kuangaliwa kwa umakini sana maana wameshazoea machafuko kwenye nchi zao.
 
Mbona wako wengi tu Morogoro sehemu inaitwa Lukobe, wamekuwa wakishushwa huko na treni za mizigo japo Zitto atabisha
 
Mbona wako wengi tu Morogoro sehemu inaitwa Lukobe, wamekuwa wakishushwa huko na treni za mizigo japo Zitto atabisha
Kweli mkuu wanajiita waha najiuliza mbona waha wanakuwa wengi sana morogoro
 
Wewe utakuwa hujasoma hiyo story vizuri?
Huyo mrundi ndio just amenunua hilo shamba .
Wabongo watakuwa wamemzunguka wamemtapeli na kumuangushia jumba bovu
Tangu Septemba 15, 2010
 
Eka 100 milion 8 afu raia wa burundi aloo achomoki, kuna vitu bana utadakwa tu, angeuza mapema akasepa zake kwao uko
Namjua.....

Ana Mke Tanzania.
Ana Watoto Tanzania.
Ana Wajukuu Tanzania.
Mtoto wake wa kwanza kazaliwa 1987....!!!t

Anaishi hapa toka miaka ya 1980 mwanzoni.



 
Namjua.....

Ana Mke Tanzania.
Ana Watoto Tanzania.
Ana Wajukuu Tanzania.
Mtoto wake wa kwanza kazaliwa 1987....!!!t

Anaishi hapa toka miaka ya 1980 mwanzoni.



Mahusiano na mkewe yakoje!? Isijekua mke ndiyo katoa taarifa za kiintelegensia kwa mamlaka!!?
 
Isije kua ni mgogoro wa Aridhi umezaa yote haya!!??
Kabisa maana haiingii akilini et amegushi,katakatisha fedha,kajipatia eneo....mpk anafikishwa mahakaman nn chanzo? Hii siyo bure Kuna jambo nyuma ya pazia
 
Yes, alinunua zamani Sana, na lilikua Pori tu, akafyeka na kuanza Kulima, Sasa Pori likawa Shamba, Watu wakaanza kulitamani Shamba lake.
Hapo sawa kabisa wew umeeleza vyema na hapo Kuna rushwa imetumika
 
Mahusiano na mkewe yakoje!? Isijekua mke ndiyo katoa taarifa za kiintelegensia kwa mamlaka!!?
Hapana, ni Watu wazima, wanaishi na Wajukuu zao, Wana Mahusiano mazuri tu na Mke wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…