johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati mwingine mjadala ya kinyang'au huwachochea Wananchi nao wavunje sheria
Wananchi Hawa siyo Wajinga ndio sababu tunasisitiza Uzalendo uanzie Juu kushuka Chini na si kinyume chake
Wakati wa Azimio la Arusha mjadala wa Bashe na Mpina Usingekuwepo Kwa sababu ya miiko ya Uongozi
Miiko ingemzuia Bashe Kutoa Vibali Utatani
Miiko ingemzuia Mpina kuongea Kwa niaba ya viwanda binafsi
Nairobi 😃😃
Wananchi Hawa siyo Wajinga ndio sababu tunasisitiza Uzalendo uanzie Juu kushuka Chini na si kinyume chake
Wakati wa Azimio la Arusha mjadala wa Bashe na Mpina Usingekuwepo Kwa sababu ya miiko ya Uongozi
Miiko ingemzuia Bashe Kutoa Vibali Utatani
Miiko ingemzuia Mpina kuongea Kwa niaba ya viwanda binafsi
Nairobi 😃😃