Raia wa Kenya auawa na Polisi kwa kuchunga ng'ombe ndani ya Shamba la bwenyenye mzungu

Raia wa Kenya auawa na Polisi kwa kuchunga ng'ombe ndani ya Shamba la bwenyenye mzungu

Trespass ni kosa kubwa sana, huwezi kukatiza tu shamba la mtu.
 
Haiwezikani Tanzania polisi wampige raia risasi kwa sababu amepita katika Shamba la mtu
Wanafiki sana nyie viumbe. Sisi tulio mipakani ndio tunawafahamu vizuri. Mliwafurusha maelfu na maelfu ya wa-Arusha maeneo ya Loliondo, tena kwenye ardhi ya mababu zao, sio ya mtu yeyote mwingine.
Hadi mkateketeza nyumba zao na mifugo yao mkaiangamiza, kwa kuwatumia polisi kuzuia mifugo yao inywe maji kwenye vidimbwi vya kuokotea maji ya mvua.

Hayo yote kisa waarabu wa Emirati wapate sehemu ya kuwindia wanyama pori. Ambao ni urithi wao hao hao masikini wamaa, watanzania wenzenu, ambao mliwadhulumu bila aibu. Bure kabisa!

_67022111_a_maasai_woman_holds_a_sign_that_reads_in_swahili,_'we_will_fight_for_our_land_until_the_end'.jpg
 
Wanafikini sana nyie viumbe. Sisi tulio mipakani ndio tunawafahamu vizuri. Mliwafurusha maelfu na maelfu ya wa-Arusha maeneo ya Loliondo, tena kwenye ardhi ya mababu zao, sio ya mtu yeyote mwingine.
Hadi mkateketeza nyumba zao na mifugo yao mkaiangamiza, kwa kuwatumia polisi kizuia mifugo yao inywe maji, kwenye vidimbwi vya kuokotea maji ya mvua.

Hayo yote kisa waarabu wa Emirati wapate sehemu ya kuwindia wanyama wa pori. Ambao ni urithi wa hao hao masikini wamaa, watanzania wenzenu, ambao mliwadhulumu bila aibu. Bure kabisa!

_67022111_a_maasai_woman_holds_a_sign_that_reads_in_swahili,_'we_will_fight_for_our_land_until_the_end'.jpg
Wapuuzi hao majamaa[emoji23][emoji23]
Anafikiria sijui kiaje walai, emu siku hyo ajaribu adunde katika shamba la bakhresa aone km atafanywaje
 
Wanafikini sana nyie viumbe. Sisi tulio mipakani ndio tunawafahamu vizuri. Mliwafurusha maelfu na maelfu ya wa-Arusha maeneo ya Loliondo, tena kwenye ardhi ya mababu zao, sio ya mtu yeyote mwingine.
Hadi mkateketeza nyumba zao na mifugo yao mkaiangamiza, kwa kuwatumia polisi kizuia mifugo yao inywe maji, kwenye vidimbwi vya kuokotea maji ya mvua.

Hayo yote kisa waarabu wa Emirati wapate sehemu ya kuwindia wanyama wa pori. Ambao ni urithi wa hao hao masikini wamaa, watanzania wenzenu, ambao mliwadhulumu bila aibu. Bure kabisa!

_67022111_a_maasai_woman_holds_a_sign_that_reads_in_swahili,_%27we_will_fight_for_our_land_until_the_end%27.jpg
Boss, funguanga thread za vitu kama hizi ili waone unafiki wao. Wabongo wakiongea huwezi jua wametawaliwa na outsiders kwa hiyo nchi yao. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Boss, funguanga thread za vitu kama hizi ili waone unafiki wao. Wabongo wakiongea huwezi jua wametawaliwa na outsiders kwa hiyo nchi yao. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kabisa..thread km hizi ndipo utajua uwezo wao wa kufikiri, jamaa zaidi ya battle hawajui kitu kingine zaidi sana sana iwe ni swhemu ya kutumia ubongo ipasavyo
 
Wanafikini sana nyie viumbe. Sisi tulio mipakani ndio tunawafahamu vizuri. Mliwafurusha maelfu na maelfu ya wa-Arusha maeneo ya Loliondo, tena kwenye ardhi ya mababu zao, sio ya mtu yeyote mwingine.
Hadi mkateketeza nyumba zao na mifugo yao mkaiangamiza, kwa kuwatumia polisi kizuia mifugo yao inywe maji, kwenye vidimbwi vya kuokotea maji ya mvua.

Hayo yote kisa waarabu wa Emirati wapate sehemu ya kuwindia wanyama wa pori. Ambao ni urithi wa hao hao masikini wamaa, watanzania wenzenu, ambao mliwadhulumu bila aibu. Bure kabisa!

_67022111_a_maasai_woman_holds_a_sign_that_reads_in_swahili,_'we_will_fight_for_our_land_until_the_end'.jpg
Wacha kupoteza malengo, Tanzania haiwezikani mtu apigwe risasi na polisi wa serikali kwa kulinda Shamba la mtu binafsi, hiyo haiwezi kutokea Tanzania, hao wamasai walifurushwa kutoka hifadhi ya Taifa sio Shamba la mtu binafsi na hakuna aliyepoteza maisha.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wanafikini sana nyie viumbe. Sisi tulio mipakani ndio tunawafahamu vizuri. Mliwafurusha maelfu na maelfu ya wa-Arusha maeneo ya Loliondo, tena kwenye ardhi ya mababu zao, sio ya mtu yeyote mwingine.
Hadi mkateketeza nyumba zao na mifugo yao mkaiangamiza, kwa kuwatumia polisi kizuia mifugo yao inywe maji, kwenye vidimbwi vya kuokotea maji ya mvua.

Hayo yote kisa waarabu wa Emirati wapate sehemu ya kuwindia wanyama wa pori. Ambao ni urithi wa hao hao masikini wamaa, watanzania wenzenu, ambao mliwadhulumu bila aibu. Bure kabisa!

_67022111_a_maasai_woman_holds_a_sign_that_reads_in_swahili,_'we_will_fight_for_our_land_until_the_end'.jpg
Hii ishu hujui kitu, afu ilishasolviwa kitambo, na Tz, ardhi yote ni ya serikali, hakuna cha ardhi ya Bibi wala babu, waarabu walikuja na mkwanja mrefu na misaada mob kwa jamii ya hilo eneo, sina muda wa paragraphs, nikuache na ujinga wako, ila bongo si Kenya
 
Kwakuwa ni mzungu kafanya hivyo, je! Angekua mtu mweusi ungeanzisha uzi???
 
Back
Top Bottom