Raia wa kigeni kunufaika na fedha za walipa kodi

Raia wa kigeni kunufaika na fedha za walipa kodi

images (8).jpeg
 
Raia wa kigeni wanaocheza soka lakulipwa nchini kwanini wananufaika na fedha zetu walipa kodi, kwanini hizo fedha zisiebde kwa watoto wetu wachezaji wa mashuleni umiseta na umitashumta?
Acha makasiriko kwani wamesema huko haziendi?
 
Raia wa kigeni wanaocheza soka lakulipwa nchini kwanini wananufaika na fedha zetu walipa kodi, kwanini hizo fedha zisiebde kwa watoto wetu wachezaji wa mashuleni umiseta na umitashumta?
Kwa hiyo unaona raia wa kigeni wapo kwenye soka tu?
Hata akiwa anafundisha MUHAS, UDSM au ni mkandarasi wa barabara au ujenzi, bado kuna namna anatafuna kodi za waTZ.
 
Kwa hiyo unaona raia wa kigeni wapo kwenye soka tu?
Hata akiwa anafundisha MUHAS, UDSM au ni mkandarasi wa barabara au ujenzi, bado kuna namna anatafuna kodi za waTZ.
Sasa kazi za hao watu huoni faida zake
 
Raia wa kigeni wanafanya kazi hawapewi pesa za bure, wanajituma uwanjani, soka letu linakua , udhamini unaongezeka, biashara bongo zinakua, jina la Tanzania linapaa, faida yao ni kubwa kuliko hasara, halafu hata ukigawa hizo pesa hata milioni mbili haifiki kwa kila Mchezaji, simba mdebwedo wana nongwa sana tangu uto tuwakalishe chini!!

Yanga bingwa na hizi hasira ,nongwa , roho mbaya, bifu , gubu na mayowe ya makolo vitaenda na upepo wa Bimkubwa hadi siku atakapoaga na kurudi kizimkazi 2031 na nusu!

Yani simba inawauma sana kuona kapu la mpunga wa Maza linapukutika na pesa yote inaishia kibindoni jangwani!!!
 
Kuna mahali nimecomment kwenye mada inayofanana hii, kwamba hizo kuliko kuzimwaga mwaga ovyoo tu kwa akina Azizi Ki ni afadhari azipeleke zikafadhiri michuano ya vijana uhususani mashuleni italeta tija kuliko anavyofanya sasa hivi.
 
Na mnavojisikia burdani kuona pasi za chama mnasahau gharama zake.
 
Back
Top Bottom