Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Amevipata wapi?
Kamateni mafisadi hao hawana madhara kwa raia wa kawaida na taifa kwa jumla
Huyo kachomewaaa tuuuu na kazi nzuri Uhamiajiii ,Honnest mimi si muungwana wa shortcut
Na wakongo na Wanaigeria...wamejaa sinza na Kijitonyama.Mbona wapo wengi wakenya lakin wana Nida tayari hadi passport za tz wananunua ardhi nchi ishajioezea
Ndio wanaitwa wapiga kuraπ π
Umesikiliza lakini clip hiyo?Amevipata wapi?
Mkuu yaani inaumaHuyo kachomewaaa tuuuu na kazi nzuri Uhamiajiii ,Honnest mimi si muungwana wa shortcut
Naumizwa sana na watuu wanaontumia njia zisizohalali kujipatia chochotee