DOKEZO Raia wa Rwanda wamejazana kama wapo kwao. Mamlaka husika waondoeni haraka

DOKEZO Raia wa Rwanda wamejazana kama wapo kwao. Mamlaka husika waondoeni haraka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Wakuu, hii imetokana na mambo kadha wa kadha ni kama mwezi mmoja umepita nilienda kwenye mgahawa mmoja local kuchukua chakula majira ya saa 3 usiku, wakati nimefika nikakuta vijana wawili ambao ni wahusika wa ule mgahawa wanaangalia taarifa kwenye simu yao na wapo makini sana. Taarifa hiyo ilionekana mtu mmoja ambaye alionekana kuwa mwanajeshi wa Rwanda anazungumza kinyarwanda na baadhi ya wanajeshi wenzake.

Kilichonishangaza ni vijana wale kushituka walipogundua nipo karibu yao NAMI naangalia video clip hiyo, walichokifanya waliondoa haraka video hiyo na kuonesha hali ya kupanic usoni mwao. Mie nilivunga na kuifanya sijaelewa chochote.

Sasa hili ni alarm kwa mamlaka za ndani ya nchi kupitia upya sera za uhamiaji na kuwadhibiti hawa raia wa kigeni wasio na vibali hasa Hawa wanaotokea Rwanda.
 
Wakuu, hii imetokana na mambo kadha wa kadha ni kama mwezi mmoja umepita nilienda kwenye mgahawa mmoja local kuchukua chakula majira ya saa 3 usiku, wakati nimefika nikakuta vijana wawili ambao ni wahusika wa ule mgahawa wanaangalia taarifa kwenye simu yao na wapo makini sana. Taarifa hiyo ilionekana mtu mmoja ambaye alionekana kuwa mwanajeshi wa Rwanda anazungumza kinyarwanda na baadhi ya wanajeshi wenzake.

Kilichonishangaza ni vijana wale kushituka walipogundua nipo karibu yao NAMI naangalia video clip hiyo, walichokifanya waliondoa haraka video hiyo na kuonesha hali ya kupanic usoni mwao. Mie nilivunga na kuifanya sijaelewa chochote.

Sasa hili ni alarm kwa mamlaka za ndani ya nchi kupitia upya sera za uhamiaji na kuwadhibiti hawa raia wa kigeni wasio na vibali hasa Hawa wanaotokea Rwanda.
Wapi huko,kigoma, Kagera nk?!
 
Wakuu, hii imetokana na mambo kadha wa kadha ni kama mwezi mmoja umepita nilienda kwenye mgahawa mmoja local kuchukua chakula majira ya saa 3 usiku, wakati nimefika nikakuta vijana wawili ambao ni wahusika wa ule mgahawa wanaangalia taarifa kwenye simu yao na wapo makini sana. Taarifa hiyo ilionekana mtu mmoja ambaye alionekana kuwa mwanajeshi wa Rwanda anazungumza kinyarwanda na baadhi ya wanajeshi wenzake.

Kilichonishangaza ni vijana wale kushituka walipogundua nipo karibu yao NAMI naangalia video clip hiyo, walichokifanya waliondoa haraka video hiyo na kuonesha hali ya kupanic usoni mwao. Mie nilivunga na kuifanya sijaelewa chochote.

Sasa hili ni alarm kwa mamlaka za ndani ya nchi kupitia upya sera za uhamiaji na kuwadhibiti hawa raia wa kigeni wasio na vibali hasa Hawa wanaotokea Rwanda.
Hii taarifa ina upungufu wa vitu vingi sana
 
Wakuu, hii imetokana na mambo kadha wa kadha ni kama mwezi mmoja umepita nilienda kwenye mgahawa mmoja local kuchukua chakula majira ya saa 3 usiku, wakati nimefika nikakuta vijana wawili ambao ni wahusika wa ule mgahawa wanaangalia taarifa kwenye simu yao na wapo makini sana. Taarifa hiyo ilionekana mtu mmoja ambaye alionekana kuwa mwanajeshi wa Rwanda anazungumza kinyarwanda na baadhi ya wanajeshi wenzake.

Kilichonishangaza ni vijana wale kushituka walipogundua nipo karibu yao NAMI naangalia video clip hiyo, walichokifanya waliondoa haraka video hiyo na kuonesha hali ya kupanic usoni mwao. Mie nilivunga na kuifanya sijaelewa chochote.

Sasa hili ni alarm kwa mamlaka za ndani ya nchi kupitia upya sera za uhamiaji na kuwadhibiti hawa raia wa kigeni wasio na vibali hasa Hawa wanaotokea Rwanda.
ebwanaeeh dah
 
Wakuu, hii imetokana na mambo kadha wa kadha ni kama mwezi mmoja umepita nilienda kwenye mgahawa mmoja local kuchukua chakula majira ya saa 3 usiku, wakati nimefika nikakuta vijana wawili ambao ni wahusika wa ule mgahawa wanaangalia taarifa kwenye simu yao na wapo makini sana. Taarifa hiyo ilionekana mtu mmoja ambaye alionekana kuwa mwanajeshi wa Rwanda anazungumza kinyarwanda na baadhi ya wanajeshi wenzake.

Kilichonishangaza ni vijana wale kushituka walipogundua nipo karibu yao NAMI naangalia video clip hiyo, walichokifanya waliondoa haraka video hiyo na kuonesha hali ya kupanic usoni mwao. Mie nilivunga na kuifanya sijaelewa chochote.

Sasa hili ni alarm kwa mamlaka za ndani ya nchi kupitia upya sera za uhamiaji na kuwadhibiti hawa raia wa kigeni wasio na vibali hasa Hawa wanaotokea Rwanda.
Hawa jamaa tayari wamejaa na hata wapo wengi tu ni maafisa uhamiaji, naona kama tumechelewa sana

Inabidi ifanyike kazi ya ziada
 
Tena huku mafia ndio hatari acha na wale wanakuja kununia dagaa unajua kabisa Hawa ni watu wa kagame Tena na imekomaa
 
Back
Top Bottom