Kitendo hiki cha kuchoma Qurani kilitokea katika siku ya kwanza ya sikukuu kuu ya Waislamu ya Eid al-Adha. Kitendo hiki kililaaniwa sana kama "kitendo cha chuki" na "dharau" kwa kitabu kitukufu cha Allah.
Swali langu Je lipi ni tendo baya zaidi kukifanyia kitabu cha Mwenyezi Mungu kati ya kuchoma na kukitupia kitabu hicho chooni kiende na kinyesi? Huko Saudi Arabia Quran imebainika kwenye sewerage (mifereji ya vyooni). Ona hii video hapa chini
Swali langu Je lipi ni tendo baya zaidi kukifanyia kitabu cha Mwenyezi Mungu kati ya kuchoma na kukitupia kitabu hicho chooni kiende na kinyesi? Huko Saudi Arabia Quran imebainika kwenye sewerage (mifereji ya vyooni). Ona hii video hapa chini