chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Ni ngumu sana sisi binadamu pale ukielezwa teknolojia huko mbeleni itakuwa hivi au kitakuwa hivi kwa sababu tujakiona wala kuhamini kipo.
Kuna uzi fulani nilishawahi kueleza kuhusu umeme unaojizalisha wenyewe. Lakini ikaonekana kama JOKE na kushambuliwa sana.
Kutoka Zimbabwe kwa bwana Maxwell Chikumbutso amejaribu kuonesha dunia kwa kutengeneza mfumo wa janereta inayoweza kuzalisha umeme binafsi kwa kutumia mfumo wa mawimbi ya redio kwa njia ya yenye ufanano wa sambamba kwenye WIFi na bluetooth.
Mashine hii aitaji kutumia umeme wa ziada wala vyanzo vengine kama solar au betry.
Teknolojia hii itakuwa ya kwanza hapa afrika na dunia nzima.
========
Zimbabwean inventor Maxwell Chikumbutso has reportedly created a radio-frequency powered television. This means that there is no power cable and the TV is powered purely by radio waves similar to WiFi and Bluetooth.
“With an RF-powered generator embedded on a TV set, it is now possible for many people to enjoy watching TV whilst they are off-grid. For me, this started off as a dream in 2003, but today it’s now a reality. We have successfully developed a solution that powers televisions, smartphones, laptop computers, fridges just to name a few.
“Goodbye to electric wired home appliances. Welcome to the future with the world’s first Free Energy powered 55″ UHD Samsung TV. The dawn of wireless self-powered gadgets is here!”
Maxwell Chikumbutso via The Herald
The concept isn’t new because Samsung debuted a radio-frequency powered TV remote at CES 2022 which also has a small solar panel on the back. However, what Maxwell Chikumbutso has done, if true, could mean that conventional electrical infrastructure is a thing of the past because it will all be antenna arrays. TVs, smartphones and all other devices will be radio frequency powered
But is this even possible?
Kuna uzi fulani nilishawahi kueleza kuhusu umeme unaojizalisha wenyewe. Lakini ikaonekana kama JOKE na kushambuliwa sana.
Kutoka Zimbabwe kwa bwana Maxwell Chikumbutso amejaribu kuonesha dunia kwa kutengeneza mfumo wa janereta inayoweza kuzalisha umeme binafsi kwa kutumia mfumo wa mawimbi ya redio kwa njia ya yenye ufanano wa sambamba kwenye WIFi na bluetooth.
Mashine hii aitaji kutumia umeme wa ziada wala vyanzo vengine kama solar au betry.
Teknolojia hii itakuwa ya kwanza hapa afrika na dunia nzima.
========
Zimbabwean inventor Maxwell Chikumbutso has reportedly created a radio-frequency powered television. This means that there is no power cable and the TV is powered purely by radio waves similar to WiFi and Bluetooth.
“With an RF-powered generator embedded on a TV set, it is now possible for many people to enjoy watching TV whilst they are off-grid. For me, this started off as a dream in 2003, but today it’s now a reality. We have successfully developed a solution that powers televisions, smartphones, laptop computers, fridges just to name a few.
“Goodbye to electric wired home appliances. Welcome to the future with the world’s first Free Energy powered 55″ UHD Samsung TV. The dawn of wireless self-powered gadgets is here!”
Maxwell Chikumbutso via The Herald
The concept isn’t new because Samsung debuted a radio-frequency powered TV remote at CES 2022 which also has a small solar panel on the back. However, what Maxwell Chikumbutso has done, if true, could mean that conventional electrical infrastructure is a thing of the past because it will all be antenna arrays. TVs, smartphones and all other devices will be radio frequency powered
But is this even possible?