Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
niliskia mtz flani kaanzisha thread hapa JF "Raila alishwa sumu Nchini Kenya" lol! watu wajinga sana hawa watz...yaani food poisoning ni kulishwa sumu???? dah! Kiingereza kilikuja na meli...food poisoning sio kuwekewa sumu kwa chakula...wacheni ujinga! food poisoning ni mtu akila chakula ambacho kimeharibika....kama vile maharagwe yaliyolala