johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Gen Z wamegoma kujumuishwa kwenye Kikosi Kazi cha Maridhiano na Serikali
Raila Odinga akubali
Kilonzo Musyoka akataa
Kijana Wamalwa akataa
Martha Karua akataa
Azimio yaweza kupasukapasuka kwa kweli
Credit Citizens tv
Mlale Unono