Raila Amollo Odinga atashinda uchaguzi mwaka huu na kuwa rais wa Kenya

Raila hawezi kushinda uchaguzi japo ni mtu ninayemkubali. Jubilee chama cha mabishoo kinakubalika kwa vijana wengi. NASA haina tofauti na UKAWA. anasubiri tu aje asingizie ameibiwa kura kama Lowassa. Lowassa alituhadaa kuwa atalinda kura kumbe wapi!! Anyway nashkuru alichangia kunipa akili ya kuzamia
 
Sitegemei ukawa ya Kenya(NASA) nayo itakuwa lege lege kama itashinda na kuruhusu unyang'anyi wa ushindi wao huku ikitegemea wanainchi na huruma kutoka nje ya nchi.

Pamoja na hali ya kutoelewana wakati wanatafuta mgombea kiasi cha kuwagawa Luhya ambao ndio wana kura nyingi kwa NASA, lakini hadi kufikia mwezi wa nane huo mgawanyo hautakuwepo na badala yake wote watakuwa timu NASA.

Kuna nimeona wanajaribu kulinganisha huu uchaguzi na ule wa 2007 na kusema matokeo hayatakuwa tofauti niseme tu huu muungano wa sasa hivi haukuwepo kipindi kile na pia siasa zimebadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…