Raila Amolo Odinga Agwambo Earthquake

Una maana wakenya wenzako hawana akili hadi usikilize na kurejea maneno ya watanzania wachache?, Wewe mwenyewe umekiri kwamba wakenya wengi walikua wanakubali Sana Magufuli lakini Kuna baadhi ya wachache ukiwemo wewe hawamkubali, vipi unaacha kuweka "Quote'za wakenya walio wengi badala yake unatumia za watanzania wachache, hiyo ni kudhihirisha kwamba unawaamini na kuwakubali zaidi watanzania kuliko wakenya, au ni wivu juu ya Magufuli
 
Nimesoma maneno yake yote. Yaliyojiri ni haya:-

1. Haja-acknowledge source yoyote ya takwimu zake, amezikoseshea uhalali (hajazitendea haki kwa sababu siyo zake na wala yeye siyo mtafiti aliyesajiliwa), kwenye media haziwezi kuchapwa, kwenye social media zinagombaniwa kwa sababu huko posts hazihaririwi, kazi ya kuhariri iko kwa mtoa post mwenyewe, sasa hapa unategemea justice kweli kwa anayechambuliwa?

2. Hajatueleza kisayansi ni vipi kama nchi Tz tumeingia Uchumi wa Pato la Kati la Chini? ikiwa uchumi huo wetu ulikuwa taabani/ulikuwa unaborongwa kama anavyosisitiza? Na kama tumeingia ngazi hiyo ya Uchumi wa Pato la Kati la Chini tukiwa na uchumi-mahtuti kama anavyotuaminisha je, ni kwa nini nchi zenye chumi-mahtuti na rekodi mbovu za demokrasia na haki za binadamu kama Somalia, Sudan, Rwanda, Burundi, DR Congo, Zimbabwe, Mali, Afrika ya Kati, Djibout, Eritrea, Burkina Faso, South Sudan, Darfur, Uganda nk hazijaingizwa kwenye ngazi ya Uchumi wa Pato la Kati? Je, Magufuli alihonga Breton Woods (WB na IMF) kutupandisha hadhi? Je, kisayansi-ya-uchumi, kiuchumi-siasa na kimaadili inawezekana kuhonga Breton Woods?

3. Kuingiza nchi kwenye Uchumi wa Pato la Kati siyo dhamana ya BoT, AU, EAC, SADC nk ni dhamana na jukumu la taasisi za Breton Wood. Mojawapo ya vigezo vikuu vya taasisi hizi katika kuithibati chumi za dunia ni hali ya kisiasa kwenye nchi husika (demokrasia na haki za binadamu) ambazo kama hazijakaa vizuri basi usitegemee chochote toka kwa taasisi hizi za Kibeberu (siyo za Kijamaa wala Kikomunisti).

Katika muktadha na mantiki ya hoja hii no. 3, Tz haikustahili kuingizwa kwenye ngazi hiyo ya uchumi kwa sababu baadhi ya watu wake akiwemo mchambuzi huyo kupitia vikundi-maslahi vyao walichagiza kwamba Magufuli anakandamiza demokrasia na haki za binadamu (sikanushi wala sikubali hii kwa sababu sina ushahidi wa kisayansi wa kutosheleza kukana au kukubali), sasa hapa mnafiki ni yupi? Mchambuzi? Taasisi za Breton Wood? CCM? Serikali? Bunge? Mahakama?

4. Amelinganisha uchumi wa JK na wa JPM, sawa kufanya hivyo kwa sababu huwezi kubaini kizuri au kibovu bila kufanya ulinganifu, sasa je, Mtz wa daraja la tatu la maisha; wa kipindi cha JK na JPM wana tofauti gani hasa hata ukiwapima kwa macho tu? Maskini wa wakati wa JK na maskini wa wakati wa JPM siyo kwamba wote tunaimbiwa ngonjera kwamba wanaishi chini ya dola moja ya Marekani kwa siku? Mara nyingi chambuzi zetu kwa kaliba zetu, kwa mrengo wetu na kwa malengo yetu huwa hayana substance.

-Tajiri akichelewa kulala riziki ya maskini ipo, akichelewa kuamka riziki ya maskini haipo, tajiri hatakiwi kulala-
 
Raila tibim!

This 2022 Ruto na Uhuru tunawatuma sugoi na ichaweri villages respectively. Jubilee wametufeli sisi wakenya miaka kumi.
 
Raila tibim!

This 2022 Ruto na Uhuru tunawatuma sugoi na ichaweri villages respectively. Jubilee wametufeli sisi wakenya miaka kumi.
Wewe... wachanga tu hii mambo! Deep-State-government ambayo ina overrule na kuwa legal, over Constitutional-government?!

Uhuru tayari ana-procure new motorcade vans kwa ajili ya 5th President Raila.

Taswira zote kwa hisani ya google.


Motorcade ya kuapishwa Raila itakuwa hivi kwa sababu itakuwa na world prominent leaders G8 inclusive.


Raila ataapa hivi Kasarani Complex kuwa rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya.


Tayari wameingia Kasarani Complex kusubiri Raila kuapishwa.


The shirt is believed to be a handout of Magufuli to Raila. CCM hoyee...


KDF Fighter jests saluting the 5th Commander-in-chief H.E. Raila Amolo Odinga alias Agwambo Earthquake.


North Korean-made Intercontinental Missile Launcher saluting KDF's 5th Commander-in-chief Raila Odinga. Unconfirmed sources hold tha Kim Jong-un wrote GoK requesting to attend the eventful day.


KDF Submarine launching Cruise Missile by firing the sky in Mombasa to celebrate swearing in of 5th Commander-in-chief H.E. Raila Odinga.


Ruto: President... so what is my fate now on?

Uhuru: No... you go and hustle out there, after all Moiben, Uasin Gishu County is very fertile for food crops production, try that as your plan B. But I assure you Ruto, the 5th Commander-in-chief promises you peaceful retirement only if you accept defeat.
 
Reactions: Oii
kenye ambacho wanafanyia Ruto mungu anaona!Naapa nyie wote ambao hampendi Ruto mutaonea akiwa kwenye kiti ndani!mutaonea Viusasa!
Iyo siku ndio mtajua kweli nani walimchagua na kutumia nguvu zao zote ili Uhuru akalie hio kiti,sai ndio anajua deep state ndio ilimsaidia!f****k deepstate
😈Ruto all the way,Ruto is the best of best,Ruto is king of all hustlers!
Ruto nii mundu murathime!
 
Ruto!Ruto!Ruto!
Ruto Tosha!
Hatupangwigwi!
UDA all the way!!!!!!
 
Raila (engineer) akikua rais tuta-achieve vision 2030 faster as opposed to the sugoi thief (botany)

Kenya will also fight corruption under raila, UDA claims it is not going to fight corruption according to David ndii.
 
Hakika huyu jamaa mwezi wa nane anapewa u president wa Kenya The deep state which is very deeper support him
akina Ruto, Musalia Mudavadi, Gideon Moi,Kalonzo Musyoka Moses Wetangula, Peter Munya they have to weit
Kimunya & gideon wanataka urais 2022?
 
Raila (engineer) akikua rais tuta-achieve vision 2030 faster as opposed to the sugoi thief (botany)

Kenya will also fight corruption under raila, UDA claims it is not going to fight corruption according to David ndii.
Raila is a thief too,hio mali yake na hio family yake where did it come from,na huyo unye,moi,wote!
 
Kimunya & gideon wanataka urais 2022?
Peter Munya sio Kimunya.....
Gideon Moi anasikiliza maelekezo ya Uhuru Kenyatta nyuma ya muungano wa OKA...
keshaambiwa Baba Tosha......
Huyo Mmeru Peter Munya mara nyingi mwanzo anaonesha kama anataka kugombea uraisi lkn mwishowe anakuwa nyuma ya miungano mingine.....
 
Atakayeweza kuwakusanya Kusalia, Mosses Wetangula na Kalonzo Musyoka atashinda uchaguzi
 
Ndugu chama ni UDA
Form ni Hustler nation
Mpango ni bottom up

Huyu mganga wenu ni state project na watu washamjua,2002 uhuru mwenyewe alikua ni project ya moi alifail.
 
Ndugu chama ni UDA
Form ni Hustler nation
Mpango ni bottom up

Huyu mganga wenu ni state project na watu washamjua,2002 uhuru mwenyewe alikua ni project ya moi alifail.
Unazungumza na mtu ambaye yupo ndani' ndani, ndani ndaaaaaaaaaani!
Jaluo lazima litinge ikulu weka hii statement kwenye account yako ya bank
 
Raila is a thief too,hio mali yake na hio family yake where did it come from,na huyo unye,moi,wote!
It is oginga odinga the vice president then who stole not raila odinga the son.
Calling raila a thief is like calling nick ruto a thief because his father arap mashamba has stolen as deputy president.
Hii story ya dynasty itakula ruto mwenyewe at the end.
 
If he is not a thief let him return every stolen cent to the gorvenment,because if you eat money of a thief knowingly you also become a thief!
If he does that i will really know he loves "The People" as he says he does!
 
They speak of corruption and them and their fathers are the masters!
I really hate pretenders
 
If he is not a thief let him return every stolen sent to the gorvenment,because if you eat money of a thief knowingly you also become a thief!
If he does that i will really know he loves "The People" as he says he does!
Baba na mtoto ni vitu mbili tofauti. Baba akifanya makosa yeye ndo atasimama kwa koti sio mtoto and vice-versa.
Usizibwe macho na siasa ukaacha kuona maisha kwa ukweli kama watanzania hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…