Raila au Uhuru Ikulu Leo ?

Raila au Uhuru Ikulu Leo ?

Status
Not open for further replies.

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,677
Wananchi wa Kenya leo wanapiga kura kuwachagua viongozi wao katika Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kupata Katiba Mpya, ambao unawapambanisha vikali watoto wa waasisi wa taifa hilo ambao sasa ni marehemu.
Uchaguzi wa leo unaelezwa kuwa na kinyang’anyiro kikali ambacho hakijawahi kushuhudiwa baina ya wagombea wawili wa urais, Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee na Raila Odinga wa Cord.
Uhuru ni mtoto wa Rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta, wakati Raila ni mtoto wa aliyekuwa Makamu wa Kenyatta, Jaramog Oginga Odinga.

MAMBO MUHIMU:
Kinachofuta; Iwapo mgombea Rais atafikisha zaidi ya nusu ya kura kwauchaguzi waleo, atatangazwa mshindi.
Ikishindikana, unafanyika uchaguzi wa marudio baina ya wagombea wawili wa kwanza, kati yao atakayepata kura nyingi atatawazwa kukalia Ikulu ya Kenya.
Walikotoka; Anayechaguliwa leo Rais wa nne wa Kenya. Marais watatu waliotangulia ni Jomo Kenyatta, Rais wa kwanza, Daniel Arap Moi, rais wa pili, na anayeondoka, Mwai Kibaki.
Wagombea wawili wanao pambana vikali; Uhuru Kenyatta na Raila Odinga – Ni watoto wa waasisi wa Taifa la Kenya, wakati Uhuru ni motto wa rais wa kwanza, na Odinga ni motto wa aliyekuwa Makamu wa rais.
Je ni nani atakayeingia ikulu leo? (……..) “chagua jibu moja tu, (a) au (b)
(a) Raila Odinga
(b) Uhuru Kenyatta
 
Kwa Kenya ukabila ndio unaamua nani atakuwa rais! Population ya watu wa kabila la Odinga kama ni kubwa basi ndie rais. Population ya watu wa kabila la Kenyatta kama ni kubwa basi Kenyatta ndie rais!
 
Wananchi wa Kenya leo wanapiga kura kuwachagua viongozi wao katika Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kupata Katiba Mpya, ambao unawapambanisha vikali watoto wa waasisi wa taifa hilo ambao sasa ni marehemu.
Uchaguzi wa leo unaelezwa kuwa na kinyang’anyiro kikali ambacho hakijawahi kushuhudiwa baina ya wagombea wawili wa urais, Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee na Raila Odinga wa Cord.
Uhuru ni mtoto wa Rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta, wakati Raila ni mtoto wa aliyekuwa Makamu wa Kenyatta, Jaramog Oginga Odinga.

MAMBO MUHIMU:
Kinachofuta; Iwapo mgombea Rais atafikisha zaidi ya nusu ya kura kwauchaguzi waleo, atatangazwa mshindi.
Ikishindikana, unafanyika uchaguzi wa marudio baina ya wagombea wawili wa kwanza, kati yao atakayepata kura nyingi atatawazwa kukalia Ikulu ya Kenya.
Walikotoka; Anayechaguliwa leo Rais wa nne wa Kenya. Marais watatu waliotangulia ni Jomo Kenyatta, Rais wa kwanza, Daniel Arap Moi, rais wa pili, na anayeondoka, Mwai Kibaki.
Wagombea wawili wanao pambana vikali; Uhuru Kenyatta na Raila Odinga – Ni watoto wa waasisi wa Taifa la Kenya, wakati Uhuru ni motto wa rais wa kwanza, na Odinga ni motto wa aliyekuwa Makamu wa rais.
Je ni nani atakayeingia ikulu leo? (…a…..) “chagua jibu moja tu, (a) au (b)
(a) Raila Odinga
(b) Uhuru Kenyatta

The answer is (a)
 
Raila Ameshaongoza sasa iv na ndie anakua mkuu wa nchi
 
Wananchi wa Kenya leo wanapiga kura kuwachagua viongozi wao katika Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kupata Katiba Mpya, ambao unawapambanisha vikali watoto wa waasisi wa taifa hilo ambao sasa ni marehemu.
Uchaguzi wa leo unaelezwa kuwa na kinyang’anyiro kikali ambacho hakijawahi kushuhudiwa baina ya wagombea wawili wa urais, Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee na Raila Odinga wa Cord.
Uhuru ni mtoto wa Rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta, wakati Raila ni mtoto wa aliyekuwa Makamu wa Kenyatta, Jaramog Oginga Odinga.

MAMBO MUHIMU:
Kinachofuta; Iwapo mgombea Rais atafikisha zaidi ya nusu ya kura kwauchaguzi waleo, atatangazwa mshindi.
Ikishindikana, unafanyika uchaguzi wa marudio baina ya wagombea wawili wa kwanza, kati yao atakayepata kura nyingi atatawazwa kukalia Ikulu ya Kenya.
Walikotoka; Anayechaguliwa leo Rais wa nne wa Kenya. Marais watatu waliotangulia ni Jomo Kenyatta, Rais wa kwanza, Daniel Arap Moi, rais wa pili, na anayeondoka, Mwai Kibaki.
Wagombea wawili wanao pambana vikali; Uhuru Kenyatta na Raila Odinga – Ni watoto wa waasisi wa Taifa la Kenya, wakati Uhuru ni motto wa rais wa kwanza, na Odinga ni motto wa aliyekuwa Makamu wa rais.
Je ni nani atakayeingia ikulu leo? (……..) “chagua jibu moja tu, (a) au (b)
(a) Raila Odinga
(b) Uhuru Kenyatta


:A S shade:
 
Nimemuona "kimunya must go "akihojiwa citizen kumbe bado anagomdea ubunge?
 
Wananchi wa Kenya leo wanapiga kura kuwachagua viongozi wao katika Uchaguzi Mkuu wa kwanza baada ya kupata Katiba Mpya, ambao unawapambanisha vikali watoto wa waasisi wa taifa hilo ambao sasa ni marehemu.
Uchaguzi wa leo unaelezwa kuwa na kinyang’anyiro kikali ambacho hakijawahi kushuhudiwa baina ya wagombea wawili wa urais, Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee na Raila Odinga wa Cord.
Uhuru ni mtoto wa Rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta, wakati Raila ni mtoto wa aliyekuwa Makamu wa Kenyatta, Jaramog Oginga Odinga.

MAMBO MUHIMU:
Kinachofuta; Iwapo mgombea Rais atafikisha zaidi ya nusu ya kura kwauchaguzi waleo, atatangazwa mshindi.
Ikishindikana, unafanyika uchaguzi wa marudio baina ya wagombea wawili wa kwanza, kati yao atakayepata kura nyingi atatawazwa kukalia Ikulu ya Kenya.
Walikotoka; Anayechaguliwa leo Rais wa nne wa Kenya. Marais watatu waliotangulia ni Jomo Kenyatta, Rais wa kwanza, Daniel Arap Moi, rais wa pili, na anayeondoka, Mwai Kibaki.
Wagombea wawili wanao pambana vikali; Uhuru Kenyatta na Raila Odinga – Ni watoto wa waasisi wa Taifa la Kenya, wakati Uhuru ni motto wa rais wa kwanza, na Odinga ni motto wa aliyekuwa Makamu wa rais.
Je ni nani atakayeingia ikulu leo? (……..) “chagua jibu moja tu, (a) au (b)
(a) Raila Odinga
(b) Uhuru Kenyatta


... Kwa sasa; Uhuru anaongoza kwa idadi ya 744648 vs 527780
 
Kwa Kenya ukabila ndio unaamua nani atakuwa rais! Population ya watu wa kabila la Odinga kama ni kubwa basi ndie rais. Population ya watu wa kabila la Kenyatta kama ni kubwa basi Kenyatta ndie rais!
Kwa hiyo inabadi uhimize watu wa kabila wazaliane kwa wingi ili upate urais ukiwa Kenyan
 
Hawa jamaa wameanzisha tread wakaiongia mitini tujuzeni nani anaongoza jamani tunataka kujua tafadhali
 
Huko kenya vipi jamani?

-update: kutoka BBC.
Matokeo ya mwanzoya
uchaguzi mkuu nchini
Kenya yanaonyesha
Uhuru Kenyatta akiwa
anaongoza kwa asilimia
hamsini na nne dhidi ya Raila Odinga aliye na
asilimia arobaini na
moja. Ni uchaguzi ambao
mamilioni ya wakenya
walishiriki kupiga kura
licha ya visa vya vurugu
kuripotiwa katika
baadhi ya sehemu za nchi ambapo takriban
watu 15 wakiwemo
polisi waliuawa . Wakenya walisubiri
kwa zaidi ya saa nane
kupiga kura
ikizingatiwa kuwa
baadhi walikuwa katika
vituo vya kupigia kura mapema asubuhi saa za
tisa na hata saa nane
wakisubiri vituo
kufunguliwa. Mamilioni ya wakenya
wanatumai kuwa
matokeo ya uchaguzi
huu yatawaunganisha
wananchi hasa baada
ya ghasia kushuhudiwa baada ya uchaguzi wa
mwaka 2007. Watu elfu
moja na miambili
waliuawa na maelfu ya
wengine kuachwa bila
makao. Matokeo ya mwanzo
yanaonyesha Uhuru
akiongoza kwa zaidi ya
asilimia hamsini dhidi
ya mpinzani wake Raila
Odinga, 68. Tume ya uchaguzi
inasema kuwa shughuli
ya kuhesabu kura
huenda ikaendelea hadi
Jumatano kwa sababu
ya idadi kubwa ya wapiga kura
walioshiriki zoezi hilo. Hatua hii nayo huenda
ikachelewesha
kutangaza matokeo
rasmi ya uchaguzi
mkuu. Watu waliendesha
shughuli hiyo kwa
amani kwani ndiyo
ilikuwa kauli mbiu ya
uchaguzi huu kwa hofu
ya kutokea tena ghasia za kikabila
zilizoshuhudiwa
mwaka 2007.
 
-update: kutoka BBC.
Matokeo ya mwanzoya
uchaguzi mkuu nchini
Kenya yanaonyesha
Uhuru Kenyatta akiwa
anaongoza kwa asilimia
hamsini na nne dhidi ya Raila Odinga aliye na
asilimia arobaini na
moja. Ni uchaguzi ambao
mamilioni ya wakenya
walishiriki kupiga kura
licha ya visa vya vurugu
kuripotiwa katika
baadhi ya sehemu za nchi ambapo takriban
watu 15 wakiwemo
polisi waliuawa . Wakenya walisubiri
kwa zaidi ya saa nane
kupiga kura
ikizingatiwa kuwa
baadhi walikuwa katika
vituo vya kupigia kura mapema asubuhi saa za
tisa na hata saa nane
wakisubiri vituo
kufunguliwa. Mamilioni ya wakenya
wanatumai kuwa
matokeo ya uchaguzi
huu yatawaunganisha
wananchi hasa baada
ya ghasia kushuhudiwa baada ya uchaguzi wa
mwaka 2007. Watu elfu
moja na miambili
waliuawa na maelfu ya
wengine kuachwa bila
makao. Matokeo ya mwanzo
yanaonyesha Uhuru
akiongoza kwa zaidi ya
asilimia hamsini dhidi
ya mpinzani wake Raila
Odinga, 68. Tume ya uchaguzi
inasema kuwa shughuli
ya kuhesabu kura
huenda ikaendelea hadi
Jumatano kwa sababu
ya idadi kubwa ya wapiga kura
walioshiriki zoezi hilo. Hatua hii nayo huenda
ikachelewesha
kutangaza matokeo
rasmi ya uchaguzi
mkuu. Watu waliendesha
shughuli hiyo kwa
amani kwani ndiyo
ilikuwa kauli mbiu ya
uchaguzi huu kwa hofu
ya kutokea tena ghasia za kikabila
zilizoshuhudiwa
mwaka 2007.

==========
Tume huru ya uchaguzi
na mipaka nchini Kenya
imekiri kuwa kulikuwa
na hitilafu chungu
nzima za kimitambo,
katika kutoa matangazo ya matokeo ya kura za
urais kutoka kwa vituo
vya kupigia kura kote
nchini. Afisaa mkuu mtendaji
wa tume hiyo,James
Oswago alielezea kuwa
hitilafu hiyo
ilisababishwa na kiasi
kikubwa cha matokeo yaliyokuwa
yanapeperushwa moja
kwa moja kutoka kwa
vituo vya kupigia kura
kwa sababu ya ukosefu
wa nafasi ya kutosha kwenye mitambo yake. Akihutubia waandishi
wa habari katika
ukumbi wa Bomas
ambako matokeo ya
urais yanatarajiwa
kutangazwa, Bwana oswago alisema kuwa
tume hiyo iliweza
kurekebisha mitambo
yake. Pia aliongeza kuwa
maajenti wa
wagombea wote
wakuu wawili
walifahamishwa
kuhusu hutilafu hiyo. Kugoma kwa muda
kwa mitambo ya
kupeperusha matokeo,
ilisababisha hali ya
wasiwasi, baada ya IEBC
kusitisha kupeperusha matangazo kwa masaa
kadhaa. Maafisa wa Miungano
yote ya Jubiliee na
CORD, walitetea kwa
sababu ya
kucheleweshwa kwa
matokeo na kulaumu tume ya IEBC, baada ya
maafisa wake wote
kuondoka katika
ukumbi wa kutangazia
matokeo ya urais. Kamishna mmoja mkuu
wa tume hiyo
aliwataka watu kuwa
watulivu akisema
hakuna sababu ya watu
kuwa na wasiwasi.
 
Wananchi wa Kenya ndo waamuzi! Wanasiasa mkubaliane na matokeo yatakavyokuwa. Mkumbuke kuwa mliomba KURA na siyo KULA!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom